Hizi job descriptions zime andikwa vizuri. Nadhani wadau wao wamejifunza from experience.
Zamani ilikuwa kama vile kwa mbaaaali wana wakwepa economists na kuwa prefer MBAs. Hii ilikuwa a little bit weird as they also had a policy oriented mandate.
Kama watapata the right candidates...
Afadhali sana, naona pale mwanzoni wameipiga grader vizuri (kipande kirefu), na wamejenga mfereji pembeni (kwa kutumia tofali na cement).
Inabidi waendelee mbele zaidi wapande kile kilima, na mbele zaidi.
Halafu waipige lami.
Hakuna shida kama yatakuwepo maeneo ambayo barabara inaweza ikawa...
Nashauri EAC countries zijiunge na SADC.
1) Kuwe na sarafu mmoja ya SADC. Sarafu hii ishirikiane na sarafu za kitaifa.
Sarafu za kitaifa zisifutwe.
2) Makao makuu ya Benki Kuu ya SADC yawe Moshi au Arusha au Mwanza.
Je, TANROADS au TARURA au TAMISEMI au Wizara ya Ujenzi au Serikali ya mkoa au Halmashauri ya Jiji au serikali za mitaa au Development Partners (wafadhili kama World Bank, JICA, DFID, EU delegation etc.) wanaweza kuijenga hii bara bara?
Barabara inayopandisha Mbezi Juu (inayopandisha kushoto juu, pale kituo cha tangi bovu) ipigwe lami mpaka inapokutana na Goba Road.
Hii itasaidia usafiri, itapunguza foleni, na itachochea kukua kwa uchumi kwenye eneo hilo zuri la kilimani lenye hewa nzuri. Vilevile barabara hii itapitika vizuri...
Kwa Dar imebaki branch yao ya IST.
Ni siku chache baada ya kufungwa tawi la Mbezi Beach.
Soma pia:
https://www.jamiiforums.com/threads/kushuka-kwa-purchasing-power-je-kundi-la-high-income-group-wanaathirika-village-supermarket-ya-high-class-wa-mbezi-beach-shamo-tower-yafungwa.1618987/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.