C cvb-1 Member Dec 14, 2018 43 45 Oct 18, 2019 #1 Nashauri EAC countries zijiunge na SADC. 1) Kuwe na sarafu mmoja ya SADC. Sarafu hii ishirikiane na sarafu za kitaifa. Sarafu za kitaifa zisifutwe. 2) Makao makuu ya Benki Kuu ya SADC yawe Moshi au Arusha au Mwanza.
Nashauri EAC countries zijiunge na SADC. 1) Kuwe na sarafu mmoja ya SADC. Sarafu hii ishirikiane na sarafu za kitaifa. Sarafu za kitaifa zisifutwe. 2) Makao makuu ya Benki Kuu ya SADC yawe Moshi au Arusha au Mwanza.
F Falconer JF-Expert Member Oct 14, 2008 881 508 Oct 18, 2019 #2 Ushauri huu hauna mashiko. Unavutia upande wako tu.
J jamvimoto JF-Expert Member Jul 28, 2015 1,064 826 Oct 18, 2019 #3 Hivi unajua viongozi wako wa waafrika wakazidiwa wataprint vipi pesa bila utani wataanguka,ni kama ilivyokuja euro Greece walianguka chali
Hivi unajua viongozi wako wa waafrika wakazidiwa wataprint vipi pesa bila utani wataanguka,ni kama ilivyokuja euro Greece walianguka chali
C cvb-1 Member Dec 14, 2018 43 45 Oct 18, 2019 Thread starter #4 Falconer said: Ushauri huu hauna mashiko. Unavutia upande wako tu. Click to expand... Unaweza uka ignore sehemu ambayo unadhani inavutia upande wangu, na ukakubali sehemu nyingine.
Falconer said: Ushauri huu hauna mashiko. Unavutia upande wako tu. Click to expand... Unaweza uka ignore sehemu ambayo unadhani inavutia upande wangu, na ukakubali sehemu nyingine.