mtanganyika wa kweli kama wewe hauna hizo sifa basi pita tu usianze kutoa kashfa,wewe kama una afya bora na ukae na afya bora milele,usije ukapata hata upele wala chunusi,God is watching u
Samahani naomba kujulishwa kuhusu mtaji wa kufungua salon ya kike au barbeshop ya kiume na zote ziwe na sehemu ya kufanyia massage ntahtaji mtaji wa kama sh ngapi?tafadhali wazoefu wa hii biashara mnisaidie mawazo
Habari wana jukwaa,
Mimi ni binti mwenye umri kati ya miaka 25 hadi 30 na mwaka 2010 wakati niko kwenye maandalizi ya ndoa na aliyekuwa mchumba wangu tuliambiwa tukapime, na ndipo nilikutwa nikiwa na maambukizi wakati mchumba wangu alikuwa mzima, tulipanga kuachana kwa siri bila kutoa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.