Wakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote ziweze kufuliwa vizuri😌😌.
Tunamshukuru Rais Samia kwa kuongoza vizuri kuagwa kwa Lukuvi, jina la bwana...
Sasa Mkuu unabishana na sisi Wakrislam wenye skuukuu yetu? Au ndo hasira za kukosa mwaliko? Tuache bana, unatujazia vumbi kwenye comment section hadi hatuoni mialiko😒😒😒
Mi ni Mkrislamu, mixa Mpagani ukichanganya na Uhindu, halafu na Buddhism kwa mbaliiiii, na chembe chembe za vitu zingine zilizobaki😎😎
Kweri, Milele Amina😌
Shalom-Aleykum Wakuu
Marry Eid kwa Wakrislamu wote jukwaani hapa ✨️✨️✨️, msherekee kwa furaha, pia msiwe wachoyooooo,
Pasaka Mubarak inakuja jamani, tumeshakubaliana kila sikukuu tunatokea wote, sasa tupeane location kwenye kunanunia. Si mnajua uchumi ni mbaya, uchumi unakaba, tupeane fursa za...
Huu mjadala unatakiwa kuwa kweli wa wananchi na viongozi wa dini, sio kuleta habari za "Unamwambia nini Waziri wa Vijana...." waziri ambaye ni mnufaika wa mauji ya Oct. 29, watanzania hatuchagua hao viongozi, wamejiweka wenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.