Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga, na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR).
Tenda hiyo inahusisha;
Kusambaza kamera maalum za reli (4 MP IP CCTV), mifumo ya kurekodi picha (8-Channel NVRs), na vifaa...
Kuna saga linaendelea sasa hivi. Wanafunzi baadhi wa chuo UDSM waliingiziwa pesa za boom lakini siyo kiasi kinachotakiwa, baadhi wameingiziwa milioni moja, milioni 3, milioni 5, kumi na wengine mpaka milioni 20!
Kwa upande wa Bodi ya Mikopo hakukuwa na shida yoyote, wao waliidhinisha kiwango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.