Recent content by Cute Wife

  1. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania TRC yatangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga, na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR). Tenda hiyo inahusisha; Kusambaza kamera maalum za reli (4 MP IP CCTV), mifumo ya kurekodi picha (8-Channel NVRs), na vifaa...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Futa/Uninstall ya zamani, afu download tena, utapata mpya
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Unistall ya zamani afu download, inakuja mpya .... sijui ndo App na Play Store wamechelewa kufanya update isome!
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Sasa na wewe si uwaombee heri na baraka kabla hujawaza huko?😒😒😒
  5. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Futa App ya Zamani, ukidownload tena unapata mpya...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Nimeibiwa Laptop kwenye Treni ya SGR, wameniambia CCTV za kwenye behewa ni urembo tu, hazifanyi kazi!

    Alooo, kuna watu wakiwa kwa basi au treni wanaacha kitu kama begi la laptop?
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania FT: South Africa 1-2 Tanzania( Twiga Stars) | Women's AFCON 2026 | 27 Julai, 2026 | Twiga Stars wanaondoka na alama 3

    Mtangazaji umeniboa hapo mwishoni😒😒
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa UDSM kulipwa ‘Boom’ mara 2 kisha kuwekwa mahabusu ili walipe, Bodi ya Mikopo yasema waulizwe CRDB

    Kuna mambo yanaendelea hapo, haiwezekani kila siku ni wao tu!
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa UDSM kulipwa ‘Boom’ mara 2 kisha kuwekwa mahabusu ili walipe, Bodi ya Mikopo yasema waulizwe CRDB

    Kuna saga linaendelea sasa hivi. Wanafunzi baadhi wa chuo UDSM waliingiziwa pesa za boom lakini siyo kiasi kinachotakiwa, baadhi wameingiziwa milioni moja, milioni 3, milioni 5, kumi na wengine mpaka milioni 20! Kwa upande wa Bodi ya Mikopo hakukuwa na shida yoyote, wao waliidhinisha kiwango...
  10. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Walishindwa kumng'oa Lissu, sasa wamehamia kwa Heche ili waweke pandikizi akubali Maridhiano! Hamtafanikiwa!

    Mnatia huruma siku hizi, maboss wanawaangusha hadi mnakosa vya kujitetea😂😂
Back
Top Bottom