Recent content by CUG

  1. CUG

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mbona hujajibu message bosi nimekutumia. Weka na namba ya simu.. coz ushaamua kusaidia watanzania wnye uhitaji so malizia kutupatia namba ya simu ili tukucheki vzr
  2. CUG

    Ikiwa tuhuma hizi ni za kweli, basi Waziri Ndalichako anapaswa kujiuzulu haraka iwezekanavyo

    Yatakushinda...huo mkopo ataulipa mtoto mwenyewe we kihehere cha nini, maisha ni mzunguko unaweza leo kuwa tajiri kesho kutwa ukafulia vile vile so usikariri... kma anavigezo apewe mkopo acha roho mbaya mkuuu. huyo wa sayani atakuwa kakudanganya alichofaulu na tunaposema kipaumbele haina maana...
  3. CUG

    Ananunua ndege wakati hiki na kile hatuna...

    Jamaa huna jipya, kamsaidie prof asifukuzwe .... hata wewe hujielewi, kwa mfano enzi hizo ukienda kusoma shule za private we hii leo tofauti. Usiniudhi bure ila kosa lako ni cheti chako cha buguruni ... utaisoma namba bora uache ofisi mwenyewe
  4. CUG

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    Mkuuu wakupeleke club D, tripple A, sakina ndo, ngurudoto, matongee karibu na fire. Na mchana ukale buffee au maeneo ya clock tower . Jioni upite maeneo ya town masjid cuba hadi maeneo ya mrina ule kuku mboga mboga . Ukiweza hata robo urudi na uzi wako.
  5. CUG

    Tazama Vodacom wanachotufanyia!

    Wenzako ... tushasahsu voda ... mambo halllotel
  6. CUG

    Nimekubali Naisoma Namba kwa majonzi tele

    Umesoma namba ngapi yako nikutajie yangu
  7. CUG

    What is wrong with me?

    Kama mdada njoo pm faster, I'm ur solution
  8. CUG

    Wanaume wenzangu naona Joyce Kiria Kileo katupa mchambo wa Karne

    Mhhh basi wakafunge ndoa na mabenki
  9. CUG

    Nauli kupanda kwenye treni ya Stesheni - Pugu, Septemba 14, 2016

    Mkuu nilichozingatia kwanza uwepo uwe wa kila siku sio leo upo mara kesho hakuna kama wanavyotufanyia. Kwani ukikosekana inabidi utumie zaidi ya buku kufika pugu kutoka kkoo na bado unasota kwenye foleni. Ni heri iwe buku waboreshe huduma ikiwemo na upatikanaji wa huduma, acha kupenda rahisi...
  10. CUG

    Nauli kupanda kwenye treni ya Stesheni - Pugu, Septemba 14, 2016

    Bora wapandishe hata buku ila liwepo kila siku, litusaidie kwani tuna pata tabu sana na foleni
  11. CUG

    Nina Tatizo, gafla tu moyo umeanza kwenda mbio sana

    Utakuwa ulitaka kufumaniwa wewe huna lolote ni woga tuu mkuuu
  12. CUG

    Naomba Ufafanuzi Mwigulu Nchemba kuvaa sare za jeshi la Polisi

    Cha ajabu kipi? Anaongoza polisi... kuvaa yupo sahihi. Mie nafurahi kuona kiongozi wangu anapenda sare zangu za kazi. kutovaa ni usaliti na nitaona ni wakuja wala hata nipa ari ya kazi. Ningekuwa na uwezo hadi mkeo ungempatia za wp. Hongera sana mkuu wangu waziri wangu. wabongo huwa ni umbea...
  13. CUG

    Hivi watanzania tutaendelea kuwa wajinga mpaka lini?

    Mkuu unaelewa kweli hii ishu au unadandia treni kwa mbele... anza kujiuliza kuhusu mikataba ndo mh.rais alipotia neno na mh.tundu lisu. punguza kukurupuka jf tunasoma wengi.
  14. CUG

    Trump azidi kukataliwa

    Mkuu rais wa dunia ... wakuu tujuzeni kuna mengi ya kujifunza.
Back
Top Bottom