Recent content by ctojay

  1. C

    Maziwa kurudia hali yake baada ya kunyonyesha inawezekana?

    Ipo ndipnkuna lotion unapaka haina madhara mi ninayo na nina mtu aliyetumia pia....nitafute 0758 513 593
  2. C

    Mafuta gani ni mazuri ya kuifanya ngozi iwe kavu?

    Nitafute nikusaidie 0758 513593
  3. C

    Mafuta gani ni mazuri ya kuifanya ngozi iwe kavu?

    Nitafute nikusaidie 0758 513 5193
  4. C

    Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

    Mi nnayo dawa ya kuzuia vipele kwa mfano kuna mdada alikua ana tatizo la kutokwa na vipele makwapani nimempa imemsaidia sana,,nitafute 0758 513593
  5. C

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Profesa nani huyo? Yan we pumba kwel unapomuita mtu mjinga unakua na ushahidi wowote na wasi wasi na weledi wako
  6. C

    Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

    Kwahiyo we kinachokukera kwa RC ni maria na ngoma za jadi?una uhakika wanamuimbaga maria tu au una mambo yako binafsi?imani ya mtu ndio itakayomuokoa kuponda mambo wanayofanya wengine sio tabia nzuri na ikumbukwe ujumbe unaopata wewe sio nitaopata mimi kila mtu ana uwelewa wake....sio lazima...
  7. C

    Waimbaji nyimbo za injili wanakera sana

    Umenena vyema mkuuu pia ijulikane kwamba unapoamua kuimba nyimbo za injili basi wewe ni mfano wa kuigwa kwa waamini..asa mavazi yao yanatufundisha nini ni kweli kwamba mbinguni wataenda wenye moyo safi na sisi hatujui mioyo yao ila kwa nje tunaona na siku zote mtu atakuhumu kwa muonekano wako...
  8. C

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Hakuna uhusiano kati ya siasa na elimu mjibu kwanza hili swali are leaders born or made? Ole sendeka ni kiongozi tu wakati muhongo ni msomi mkubwa ambaye kwa maoni yangu siasa sii mahali pake
  9. C

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Umemdharau wewe na akili zako fupi kasome geology pale UDSM ndio utamjua Muhongo ni nani na ana uwezo gani na nani pia duniani MUHONGO anajulikana duniani apa we ata mtaani kwenu hawakujui wote
  10. C

    Alichokisema Prof Muhongo: Kwenye Mjadala wa Bajeti ya Nishati na Madini

    Hivi we unaujua uwezo wa muhongo au unaropoka uprofesa wa kupewa apewe muhongo nna wasi wasi na upeo wako wa kufikiri....hoja ungesema kwamba ana uwezo mkubwa wa akili na elimu ila hana uwezo wa kujibu hoja
  11. C

    Mwanafunzi wa kike UDSM MLIMANI akutwa amekufa

    Jaman sakabenga pius sio mlevi alitoka darasani akasema anajisikia vibaya akaenda kuoga akarudi kulala hajaamka tena mpaka mauti yalipomkumba mimi namfahamu vizuri na mama yake ni rafiki yangu
  12. C

    Mwanafunzi wa kike UDSM MLIMANI akutwa amekufa

    Hivi humu kuna great thinkers kwel?we una uhakika familia yake inategemea boom au unaropoka?unajua hata kwao pakoje?..mtu kafa unaropoka tu
  13. C

    Oriflame africa

    Wadau nauza bidhaa za oriflame ambazo ni vipodozi kwa wanawake na vipo baadhi kwa ajili ya wanaume kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia 0758513593
  14. C

    Kuapdate heslb ngoma nzito

    We yan una update acount? Mbona udsm hamna tena ku update acount ina mana sio vyote kumbe
  15. C

    Wema Sepetu: Najuta kumlipia Kajala mil 13

    Kajala alishawahi kusema alimsukuma wema kwasababu yeye kajala alikua na jasho akaona atamchafua ila sio kwamba alimsukuma makusudi kwa bifu tena hao hao global walimuhoji
Back
Top Bottom