Habari zenu wakuu,
Binafsi najihusisha na kutoa ushauri wa kibiashara pamoja na huduma zingine za kiuhasibu na kodi jijini Dar es Salaam pamoja na huduma zinginezo.
Katika kutekeleza mpangokazi wangu wa mwaka 2020/2021 nina mpango wa kufungua ofisi maeneo ya kurasini (Along Nelson Mandela au...
Naamini katika requirements walizokwambia upeleke ni Mkataba wa Pango/eneo la biashara
Katika mkataba huo sasa wataweka 10% ya kodi ambayo imelipwa;
Hii 10% (24,000) ni Withholding tax on rent na hiyo (2400) stamp duty ambayo inatofautiana sasa;
Stamp duty itatumika kama mbadala wa risiti ya...
Naamini katika requirements walizokwambia upeleke ni Mkataba wa Pango/eneo la biashara
Katika mkataba huo sasa wataweka 10% ya kodi ambayo imelipwa;
Hii 10% (24,000) ni Withholding tax on rent na hiyo (2400) stamp duty ambayo inatofautiana sasa;
Stamp duty itatumika kama mbadala wa risiti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.