Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 240
IST ikimshinda MTU mkuu ni maajabu.Wanashindwa tu kukuchana kiukweli wengi tunapenda kumiliki vitu kwa show off baada ya hapo Hamna kitu ukijiuliza umenunua gari na nn mkopo wa mshahara mafuta yanatoka wapi mshahara matengenezo yanatoka wapi mshahara makato ya mkopo wap mshahara ukija kuangalia una miliki gari halafu una maisha magumu kama sio ya mkopo
Ufanye Nini:uza gari tafuta sehemu uwekeze hiyo hela uliouza gari kama ni duka au mradi wowote ambao utakuingizia kipato kila siku tena anza na mrad wa faida ndogo tu 10000 kwa siku au 5000 kwa siku utajikuta faida unayopata ndio unafanya vitu vingne .
Maana hata muuza mkaa akiuza akipata faida anaweza kumiliki gari economy ka.a IST.
Kikubwa jamaa ahakikishe anafanya full service akitenga pesa ya kutosha kama mil2 ya service them,
Ahakikishe ana biashara ya walau sh 2000 faida Kwa siku. Hii itamsaidia mafuta.
Lkn pia aaache kulia Lia Kwa IST ni gari ya kawaida sana
yako