Recent content by crome20

  1. crome20

    JamiiForums Tanzania Davido avaa koti lenye majina ya waliotekwa Nigeria akitumbuiza tamasha la FIFA

    Hawa Nguchirowa wenu mnawaitaka kioo cha jamii? Mkome kufananaisha vitu na matambala
  2. crome20

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu taifa kuanzisha kampeni ya mapema ya kuwakataa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwenye sanduku la kura 2030

    Ni wa Magharibi tu sio? Wale wa Mashariki au kusini wao wajipigie tu ? Angalau tumejua kuwa hakuna unachotafuta
  3. crome20

    JamiiForums Tanzania Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Picha ya YESU n8 mzungu au mwafirika haina maana yoyote katika imani ya KIKRISTO. Unahangaika na vitu ambavyo wakristo wenyewe hawana mpango navyo. BIBLIA inasema wazi kuwa aamiminiye na kubatizwa ataokoka, asiyeamini atahukumiwa.
  4. crome20

    JamiiForums Tanzania Askofu Ruwa'ichi: Kuna lofa mmoja ameandika barua kumshitaki Padri Kitima. Huyo si mkristu, ni kibaraka, msaliti, mnafiki na ndumilakuwili

    Huyo si ndio kama yule LOFA aliyeenda kwenye kampeni za CCM akiwa amevaa mavazi ya kikuhani aonekane kaman Padre, baada ya kubanwa kumbe CHAWA.
  5. crome20

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa: Kuna watu jamii ikikaa kwa amani wanaumia

    Kwamba kuna watu hawapendi amani?? Kweli Malasusa unaweza kusema hivi kwa level yako kabisaaaa. Kwa hiyo Mzee Malasusa, amani tafsiri yako ni nini??
  6. crome20

    JamiiForums Tanzania Askofu Malasusa: Kuna watu jamii ikikaa kwa amani wanaumia

    Amekwisha ongea Judge Sinde Warioba, mtu na nusu. Hana waa wala tuhuma. Alishaseman Mwl JK Nyerere kuwa "Amani ni tunda la haki" ama haki yenyewe ikiwepo, au kuna matumaini ya kuwepo uongozi unaojali HAKI" Kwa hiyo ukiona amani(tunda) haipo ujue shina( HAKI) limenyauka. Mtu mwenye akili...
  7. crome20

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Dar es Salaam waliwahi kuongea na rais ?

    Nauliza swali jamani, Hivi ilishawahi tokea wazee wa Daresalamu au wa popote pale wakaongea na Rais? Mimi uwa nasikia Mh Rais kuongea na wazee wa DAR. Je ilishawahi tokea wazee wenyewe wakaona kuna haja kumuita Rais na kuongea naye?:
  8. crome20

    JamiiForums Tanzania Hivi ni SUVs zipi za kuzikwepa hapa bongo na hasa sisi wenye vipato vidogo na kati?

    Asante sana mkuu hata hivyo umenisaidia mawazo.. Actually SUV nililenga make za JAPAN.
  9. crome20

    JamiiForums Tanzania Hivi ni SUVs zipi za kuzikwepa hapa bongo na hasa sisi wenye vipato vidogo na kati?

    Hii hapa mwenye experience na hili gari please msaad wako. Si unajua viela vya kuunga uunga na kukopa
  10. crome20

    JamiiForums Tanzania Hivi ni SUVs zipi za kuzikwepa hapa bongo na hasa sisi wenye vipato vidogo na kati?

    Aisee, nimetokea kuipenda hii gari, ina 4WD, Manual halafu low millge less than 80,000KM. Mwenye experience na hili gari please
  11. crome20

    JamiiForums Tanzania Hivi ni SUVs zipi za kuzikwepa hapa bongo na hasa sisi wenye vipato vidogo na kati?

    KUTOKANA na ukweli kwamba siku hizi kuna make na model tofauti tofauti, tunahitaji kushauriana ni magari yapi ya kuyakwepa kwa maana ugumu wa kuishi nayo hasa gharama za maitenance, uwezo kuhumiri hali ya barabara ,zetu n.k. Nimetokea kuipenda Mitsubishi Outlander, na mitsubish IO na...
  12. crome20

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Cyprian Musiba: Kwa nilichokiona kwenye Uchaguzi Mkuu, Madai yote ya Tundu Lissu na CHADEMA ni sahihi

    Kwa hiyo sisi ambao hatujagombea unatushauri tukagombee ndio tujue vizuri???
  13. crome20

    JamiiForums Tanzania Trump kaifikisha Marekani pabaya sana. Mwanamke huyu avamiwa na Wanajeshi wa ICE mchana kweupe

    Wazee wa upinde kazi kwenu, Rudi kwenu acha kulalama
  14. crome20

    JamiiForums Tanzania Alianza Makongoro, Hussein Mwinyi, Ridhiwani na sasa Jesca Magufuli wote wamepokelewa na watanzania, tunasubiri zamu ya Abdul ifike

    Makongoro alipigana vita huko Uganda. HAO wengine tupe CV za uzalendo.
Back
Top Bottom