Katika pita za hapa na pale nimeona wanaume wengi wakipoteza fursa kutokana na kushindwa kusoma lugha za mwili za wanawake. Forget about kung’ata nyasi. Leo ntawashushi baadhi baadhi ya lugha za wanawake ambazo wanaume wengi wanapuuzia au wanashindwa kuzielewa.
1. Tabasam
Ukimwongelesha...
Kiukweli kabisa.......tangu nimeanza kunywa maji sijawahi kunywa maji matam kama mwanza Pure drinking water......niliyanywa nilipo fika mwanza juzi kati......... haya maji ni mazuri sana ........sifaham ni yako chini kampuni gani....ila nilitamani sana yangefika mbaka Dar.
Sent using Jamii...
Tunakufata ulipo. 0674497230
(Kwa wakazi wa Arusha na Dar es Salaam)
Baadhi ya matatizo ya computer tunayo yafanyia kazi.
1.Ku install windows,
2.Kuweka Antivirus,
3.Kuweka office,
4.kuweka pdf reader,
5.computer ipo slow,
6.computer inakua na blue screen,
7.kuweka Aplications kama...
Nimekua nikisikia simulizi nyingi za vibwengu......na mambo mengi chungu nzima ila.... kila nikiuliza mtu anae simulia hiyo stori anasema alisimuliwa....je kuna ukweli wowote kuhusu dhana ya kuepo kwa uchawi ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah! Kweli tupo tofauti....mimi kipindi nakatazwa kutoka ndo hulka ilikua shingoni......sasa nipo free hata kutoka nje naona shida [emoji20][emoji20]
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani nilikua naona wanywa pombe wajinga sana...ila baada ya mbili tatu....imenisaidia kuamisha confidence yangu ya upombeni kwenda kwenye reality
In short ukitaka kujua wewe ni confident kiasi gani kunywa mzinga.....utaniambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni graduate wa BIT(Bachelor in Information Technology). Nahitaji kujiendeleza ili niwe valuable sasa au hata apo badae.
Na acknowledge uwepo wa professionals humu ndani na pia wenye experience na kazi za hapa na nje ya nchi ni wapi ambapo nikijiendeleza nitakua valuable asset ndani au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.