Recent content by CRI Swahili

  1. CRI Swahili

    Kifo cha Benjamin Mkapa: Rais Xi Jinping atuma salaam za rambi rambi kwa Rais Magufuli

    Rais Xi Jinping ametoa salamu za rambirambi kwa Rais Magufuli wa Tanzania kutokana na kifo cha rais wa zamani wa nchi hiyo Benjamin Mpaka. Katika salamu zake, Rais Xi amesema, Benjamin Mkapa alikuwa ni kiongozi hodari wa Tanzania na Afrika, na pia alikuwa ni rafiki mkubwa wa watu wa China...
  2. CRI Swahili

    China yakubali WHO kutuma wataalamu Beijing kufanya uchunguzi kuhusu COVID-19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nje ya China Bw. Zhao Lijian amesema, serikali ya China imekubali Shirika la Afya Duniani WHO kutuma wataalamu kuja China kutafuta chanzo ya virusi vya Corona. Bw. Zhao amesema kazi ya kutafuta chanzo ya virusi ni suala la kisayansi linalotakiwa kuchukuliwa kwa...
  3. CRI Swahili

    China: Rais Xi Jinping asisitiza kuendelea na msimamo mkali dhidi ya dawa za kulevya

    Rais Xi Jinping wa China leo ametoa mwito wa kuendelea kwa juhudi za kupambana na dawa za kulevya. Kwenye ujumbe aliotoa mapema kabla ya maadhimisho ya siku ya kupambana na dawa za kulevya (26 June), Rais Xi amesema msimamo mkali dhidi ya dawa za kulevya ni lazima uendelee, ili kupata maendeleo...
  4. CRI Swahili

    Kifo cha George Floyd kinaweza kuleta usawa wa rangi Marekani?

    Mazishi ya mmarekani mwenye asili ya Afrika George Floyd yalifanyika jana Jumatano katika maskani yake mjini Houston, na kuhudhuriwa na wageni zaidi ya 500. Akizungumza kwenye mazishi hayo, mpwa waFloyd Bibi Brooke Williams ameuliza kuwa, “baadhi ya watu wanadai kuifanya Marekani kuwa kubwa...
  5. CRI Swahili

    Mbinu zilizotumiwa na China hadi kufanikiwa haraka kutokomeza janga la COVID-19

    Mwishoni mwa Januari wakati Wachina wanajiandaa na siku kuu ya mwaka mpya wa jadi wa China, wengi wao walitarajia kuwa watasherehekea mwaka mpya kwa furaha nashamrashamra zote. Lakini kile ambacho hawakukijua ni kwamba mwaka huu utakuwa tofauti baada ya virusi hatari vya corona kuibuka katika...
  6. CRI Swahili

    China yatoa waraka kuhusu mapambano dhidi ya virusi vya Corona

    Leo (Juni 7, 2020) asubuhi, ofisi ya habari ya baraza la mawaziri la China imetoa waraka kuhusu mapambano dhidi ya virusi vya Corona wenye jina “Mapambano dhidi ya COVID-19: Juhudi za China”. Waraka huu umetolewa wakati China ikiwa imefanikiwa kukabiliana na tatizo la virusi vya Corona, ambapo...
  7. CRI Swahili

    Nchi zaidi za Afrika zaunga mkono uamuzi wa China kuhusu Hong Kong

    Mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Umma la China hivi karibuni umepitisha Muswada wa Kujenga na Kukamilisha Mfumo wa Sheria wa Kulinda Usalama wa Taifa Katika Mkoa wenye Utawala Maalumu wa Hong Kong na Utekelezaji wa Mfumo huo. Nchi za Afrika zimeunga mkono hatua hiyo, zikisema ni hatua imara...
  8. CRI Swahili

    ‪Tanzania yaunga mkono Bunge la China kupitisha uamuzi wa kutunga Sheria ya Usalama wa Taifa mkoa wa Hongkong‬

    Serikali ya Tanzania imeunga mkono Bunge la Umma la China kupitisha uamuzi wa kutunga sheria ya usalama wa taifa kwenye mkoa wa Hongkong. Msemaji wa serikali ya Tanzania Bw. Hassan Abbas amesema Tanzania imekuwa ikifuatilia maendeleo ya hali ya Hongkong, na kwamba serikali ya Tanzania siku zote...
  9. CRI Swahili

    China kukataa Uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa, ni kupambana na ubabe wa Nchi za Magharibi?

    Mahakama maalum ya utatuzi wa migogoro(PCA) hivi karibuni ilitoa uamuzi wa kesi kati ya China na Philippines, iliyowasilishwa na Philippines kwenye mahakama hiyo kutaka ufafanuzi kuhusu uhalali wa eneo la mpaka wake na China kwenye eneo la bahari ya China kusini. China imepinga uamuzi...
  10. CRI Swahili

    Shiriki shindano la #ChinaMade kujishindia simu ya Huawei au Xiaomi Arm Band

    Habari wanaJF, China Radio International kwa kushirikiana na Jamii Media (kampuni inayoendesha JamiiForums & FikraPevu) inakuletea shindano kabambe la "Made in China" litakalokuwezesha kujinyakulia simu za kisasa aina ya Huawei pamoja na Xiaomi Arm band kwa urahisi kabisa. Unachotakiwa kufanya...
  11. CRI Swahili

    Ijue China Radio International kuelekea kutimiza miaka 74 tangu kuanzishwa kwake

    Radio China Kimataifa CRI ilianzishwa Desemba 3 mwaka 1941, na ni radio ya taifa ya China inayotangaza kwa dunia nzima, pia ni chombo cha habari kinachotangaza kwa lugha za aina nyingi zaidi kote duniani. CRI inafuata nia ya "kujulisha hali ya China kwa dunia, kujulisha hali ya dunia kwa China...
  12. CRI Swahili

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Habari wana JF, Sisi China Radio International, Idhaa ya Kiswahili (CRI Swahili), tungependa kupata maoni yako juu ya habari ambayo unaamini ilikuwa habari kubwa kwa mwaka 2013. Aidha, habari 10 zitakazopigiwa kura/pendekezwa ndizo tutazitangaza kuwa habari 10 kubwa zilizopendekezwa na...
Back
Top Bottom