Na yule Changudoa wa Shinyanga aliyekuwa anacheza igizo la kuibiwa kwa dawa Zahanati ya Kambarage! Wakuu hawa wa Wilaya ndiyo wale aliyotuambia Roma Mkatoliki kuwa ni "...miradi ya upigaji" Ova
Me napenda tu kujua, kwani hayo mataifa ya nje yanayomkubali Magufuli kwa mujibu wa gazeti la Tazama, watakuja kuipigia kura CCM na huyo Magufuli wao!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.