Recent content by CreativeThinker

  1. C

    Neno 'dear'

    Ndugu ninakushukru kwa kurahisisha maelezo ya neno dear, nilikosa muda wa kuyarahisisha hasa kwa lugha inayoeleweka kama hiyo hapo juu, Thanks. Mpaka hapo najua watu wataelewa zaidi na zaidi lini, wapi, wakati gani na kwa nani kulitumia neno hilo ili kuondoa utata usiokuwa na lazima. Heshima...
  2. C

    Neno 'dear'

    Matumizi ya maneno mengi kwa sasa yameharibiwa kwa makusudi au kwa kutokujua, Hili neno ni mojawapo wa maneno mengi, kimsingi unaweza kumuita mtu yeyote yule Dear, hata Mungu. Kama wengine walivyosema hapo juu ukimwita msichana au mwanamke yeyote yule dear wazo lake la kwanza ni mahusiano ya...
  3. C

    Nataka kuagiza gari hii, itanigharimu vipi?

    Ahsanteni wazee mmetusaidia wengi kwenye hili. Heshima mbele wakuu.
  4. C

    Nataka kuagiza gari hii, itanigharimu vipi?

    Kaka Dullymo (au yeyote mwenye uelewewa huu) hebu fafanua hapo pa ushuru na other charges, manake ndipo panapotutisha wengi, si unajua hear say za mitaani. Toa mifano hata mitatu kwa FOB price say USD 1200, 1500 na 2000, na ukiweza tupatie na mifano kwenye CIF price. Heshima mbele wazee.
  5. C

    Jumong...

    Nimefurahishwa na jamvi hili pale watu kutoka pande mbalimbali wanavyoweza kushare interest,hobbies n.k. Kwa ufupi kwa mtu aliyeifuatilia kama mimi tangu mwanzo hadi mwisho, kama mtizamo wako wa maisha, kisiasa, kiuchumi, kiulinzi, kiintelgensia (intelligence), kijamii...
  6. C

    Usanii wa CCM kuelekea 2010 waanza rasmi

    Ukitaka kuelewa nilichosema hapo juu hebu chukua mifano hii miwili iliyowekwa na Bubu ataka kusema kuhusu Chiligati: Kutoka Gazeti la MwanaHALISI la August 26, 2009 Quote: Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati aliwaambia waandishi wa habari baada ya kikao cha NEC, “Tumesema...
  7. C

    Usanii wa CCM kuelekea 2010 waanza rasmi

    Ukitaka kuelewa nilichosema hapo juu hebu chukua mifano hii miwili iliyowekwa na Bubu ataka kusema kuhusu Chiligati: Kutoka Gazeti la MwanaHALISI la August 26, 2009 Quote: Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati aliwaambia waandishi wa habari baada ya kikao cha NEC, "Tumesema...
  8. C

    Usanii wa CCM kuelekea 2010 waanza rasmi

    CCM ikitaka kurudisha heshima yake (kama ipo/ilikuwepo) mbele ya jamii ya WaTz, lazima kiachane na hawa vikongwe wao. Waruhusu vijana wenye akili timamu na elimu ya kutosha ili kukiongoza chama. Hawa wazee hata siamini kama baadhi yao wamewahi kuingia hata form one, wanachotumia ni uzoefu tu wa...
  9. C

    Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

    Thanks mzee Invisible, kwa hii taarifa endelea kutupatia yanayojiri huko. Nina swali moja zile asilimia zinazotajwa kwenye vyombo vya habari vya hapa nyumbani zinatokana na majumuisho ya kula kutoka vituoni? na kama ndivyo wanavuyoendelea kuhesabu kura mojamoja kunaweza kuzibadili? manake hapa...
  10. C

    Mbowe katika picha Bukoba

    Hongera Chadema kwa move hii, Kweli tutafika. Vijijini ndo wanaturudisha nyuma (wanadanganywa kwa maneno na tshirt, na kofia)na baadhi ya miji mikubwa e.g Dar, kwanini? Mbaya zaidi ni kwenye hizi high learning institutions ambapo nafikiri watu wana uwezo wa kuchambua mambo lakini ndo wanajiunga...
  11. C

    Tunduma kwawaka moto

    Jamani utaratibu na mbinu za kumukabiri jambazi kwa polisi wetu siku hizi zimebadilika? Mbona siku hizi haya matukio ya raia kuuwawa kwa kudhaniwa ni majambazi yameongezeka? Mlio na taarifa kuhusu hili tujulishane ili kujihami mapema hata kwa kurudi majumbani mapema. Je hakuna utaratibu kwa...
  12. C

    Prof. Haroub Othman Afariki Dunia

    Mungu alitoa Mungu ametwaa jina la bwana libarikiwe. Tutakukumbuka kwa msimamo wako kama msomi, na mwalimu wetu. Nenda Prof.
  13. C

    Zitto: "Majibu ya Sumari ni 'ovyo ovyo'"; atakiwa kufuta kauli!

    Wabunge wa CCM na mawaziri wote wamejaa jeuri na kiburi ambacho mimi sielewi kinatokana na kitu gani, labda ni sisi watz ndo tumewapa. Yale maneno waziri sumari aliyotumia ilikuwa ni dharau kubwa kwa Dr. slaa na hata watanzania wote, kuwa "na wewe utafute hoja nyingine" maneno yenyewe ukiyasoma...
  14. C

    Dr. Shein kuelekea 2015...

    Kwa tz ya sasa hatuwezi kumpima Rais ajaye kwa safari za mikoani anazofanya, tutampima kwa anachosema, anachokisema akiamini, na atende anachokiamini, je Dr, Shein katika safari zake za mikoani anaqualify katika hayo hapo juu, au story ndo zilezile maisha bora kwa kila mtanzania wakati...
Back
Top Bottom