Wadau habari zenu,
Naomba kuulizia garage nzuri kwa gari ya Mercedes benz ukiachana na akina CFAO and co.
Gari yangu C class w204 ilikua free of problems nikawa namtumia fundi mmoja kwaajili ya services na vitu vidogo. Recently gari ilikua ina knock baada ya kuikagua hata mwenyewe niliona ball...
No hapana..
Kuna kitu wadudu wote wa magonjwa wanacho kinaitwa "window period" yaan toka pale upate vvu mpaka vipimo vionyeshe kwa usahihi majibu.. sasa hapa kuna vipimo vya aina 2 kwa vvu.
1. kipimo maarufu tunachotumia "bioline" na mwenzake "unigold" hizi zitagundua maambukizi baada ya wiki...
Nianze kwa kukupa pole. Kama umeenda hospitali na umeambiwa huna mbegu kabisa inawezekana ikawa kweli yaan una azoospermia. Vile vile inawezekana una low sperm count yaan oligospermia na hamkuelewana na daktari.
USHAURI;
1.Kama unatumia tumbaku kwa jamii zake, pombe ama una uzito ulikithiri...
●Are you residing in Dar Es salaam and Pwani and you need master of ceremony for your event?
●Vitality ceremonial inc brings to you group of MC at reliable negotiation.
■Contact us through
+255757514909
+255713514909
Regards.
Kaka hapana mambo hayako hivyo..kweye damu hatuna cha chanya na chanya hukwepana...hakuna tatizo lolote kumuoa mtu mnaefanana nae au kutofautiana nae kundi la damu...tatizo linaweza kutokea endapo mwanamume mwenye protein iitwayo Rhesus factor akimuoa mwanamke asiye nayo (kwa kuelewa zaidi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.