Recent content by crayvt

  1. crayvt

    Mzumbe ni Mzumbe tu

    Boss PM me... if you did mean you're from mbeya campus Sent using Jamii Forums mobile app
  2. crayvt

    Kwanini baadhi ya Wanaume hawapati HIV?

    No hapana.. Kuna kitu wadudu wote wa magonjwa wanacho kinaitwa "window period" yaan toka pale upate vvu mpaka vipimo vionyeshe kwa usahihi majibu.. sasa hapa kuna vipimo vya aina 2 kwa vvu. 1. kipimo maarufu tunachotumia "bioline" na mwenzake "unigold" hizi zitagundua maambukizi baada ya wiki...
  3. crayvt

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Nianze kwa kukupa pole. Kama umeenda hospitali na umeambiwa huna mbegu kabisa inawezekana ikawa kweli yaan una azoospermia. Vile vile inawezekana una low sperm count yaan oligospermia na hamkuelewana na daktari. USHAURI; 1.Kama unatumia tumbaku kwa jamii zake, pombe ama una uzito ulikithiri...
  4. crayvt

    Viable Masters of Ceremonies

    ●Are you residing in Dar Es salaam and Pwani and you need master of ceremony for your event? ●Vitality ceremonial inc brings to you group of MC at reliable negotiation. ■Contact us through +255757514909 +255713514909 Regards.
  5. crayvt

    kufana kundi la damu na mke mtarajiwa

    Kaka hapana mambo hayako hivyo..kweye damu hatuna cha chanya na chanya hukwepana...hakuna tatizo lolote kumuoa mtu mnaefanana nae au kutofautiana nae kundi la damu...tatizo linaweza kutokea endapo mwanamume mwenye protein iitwayo Rhesus factor akimuoa mwanamke asiye nayo (kwa kuelewa zaidi hizo...
  6. crayvt

    Msaada nataka kuongeza uzito sababu na mwili mdogo sana

    Brother.. una uzito pungufu au kitaalam underweight as per Body Mass Index. .unapaswa kuongeza takribani kilo 10 na zisizidi 18 kula vyakula vya protini kwa wingi kama samaki,nyama na mayai wakati huo huo kula mboga za majani au tumia nyanya angalau moja kwa siku kama Anti-Oxidant na mzoezi vile...
  7. crayvt

    Msaada: Amemeza vidonge vya p2 jana ila leo ametapika

    She might be overdosed nenda hospital....usijaribu kumpa dawa zingine bila medical consultant cuz hizo p2 ni synthetic Levonorgestrel
  8. crayvt

    Msaada: Amemeza vidonge vya p2 jana ila leo ametapika

    Postinor 2 ni two tablets zinamezwa kwa interval ya masaa 12 sasa hujaeleza hiyo saa 6 ni tab ya pili au ya kwanza na kama ni ya 1 ya pili ilimezwa?
  9. crayvt

    Msaada: Amemeza vidonge vya p2 jana ila leo ametapika

    Alitapika baada ya muda gani(baada ya kumeza dawa)?.....Alikua siku ya ngapi kwenye cycle yake??...Alishawahi kuzitumia hapo awali?
  10. crayvt

    Msaada: Njia rahisi/mbadala ya kupunguza HCG level

    Ni complete au partial molar pregnancy mkuu....as human chorionic gonadotrophin ni secretion ya syncytiotrophoblast na placenta (after implanting )
  11. crayvt

    Umetongozwa leo na leo leo umevua nguo loh!

    Trust me a bit am good [emoji4] [emoji4]
  12. crayvt

    Eti hii ni ARVs au PrEP msaada

    Huwa Efavirenz ikitumika ingredient nyingine yyt ambayo ni antiretroviral inakua expanded post-exposure prophylaxis.....ila pia Lamivudine inatumika kutibu hepatitis-B ila at lower doses that that as PEP
  13. crayvt

    Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

    Braza IQ=highque????? Haah IQ=intelligence Quotient
  14. crayvt

    Fahamu zaidi kuhusu la ugonjwa wa Vitiligo na tiba yake

    Hello jamiii forum Kwanza atakae kuambia kuna dawa ya genome modifications ya vitiligo anakudanganya.. ..japokua kuna njia ya kupunguza ama kuondoa white patches hii inahusisha 1.creams ...kwa wale ambao patches zao ni too early creams zinaweza tumika mfano creams zenye corticosteroids eg...
  15. crayvt

    Msaada kwa mtu aliyepata stroke ( ISCHEMIC)

    Hapana mm co muanzisha thread. .. ila nmeona kama kasema seizure based on ischemic stroke cyo seizure due to hypoxia ndo maana nmetaka kujifunza hyo therapy
Back
Top Bottom