Duu...hii kali aisee...ila Kama kuna mwanaume anayeruhusu mkewe akasuguliwe kucha na Hii mijamaa atakuwa ana kasoro..ila inaonekana wengi wa wadada wanaopenda kusuguliwa kucha na hawa Jamaa wanafanya kwa siri..kwa asilimia kubwa waume zao hawajui kamchezo haka. Hii ni changamoto Kwakweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.