Recent content by Coz B

  1. C

    Ewe Mwanaume ukiliona hili kwa Mpenzi wako jua umefanikiwa au hujafanikiwa kumfikisha Uhuru peak

    Daaa...yani mpaka namaliza kusoma nabaki natabasamu tu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]...kwakweli najionea hali ya ushindi..#kazikazi..
  2. C

    Wanawake wanaopenda kusuguliwa kucha wengi wao hufanya mapenzi na wasugua kucha

    Duu...hii kali aisee...ila Kama kuna mwanaume anayeruhusu mkewe akasuguliwe kucha na Hii mijamaa atakuwa ana kasoro..ila inaonekana wengi wa wadada wanaopenda kusuguliwa kucha na hawa Jamaa wanafanya kwa siri..kwa asilimia kubwa waume zao hawajui kamchezo haka. Hii ni changamoto Kwakweli.
  3. C

    Mwanamke bila kumdanganya hamna kitu

    Kama umeanza kuelewa ivi...kaka endelea kushusha vifungu takatifu ataelewa tu...
  4. C

    Eti kweli jamani???

    tena udhalilishaji wa kijinsia....
  5. C

    Eti kweli jamani???

    hahahaha....ila Kama kuna kaukweli flani ivi...Lakini dume zima unaanzaje kupaka mafuta kalio aiseeee...
  6. C

    Barua ya Wazi kwa Mheshimiwa Tundu Lissu

    kweli aiseee...nami nimeshtuka kuona marehemu Kalonzo Musyoka...
  7. C

    Tanga mbali lakini nitakuja hata kwa miguu

    hahahaha....wahenga walisema mpania maji hayanywi kaka...
  8. C

    Nauza photocopy machine IR 2420

    unapatikana wapi mkuu?
  9. C

    Lowassa ni next level na anaijua siasa ya Tanzania

    hatwari kwakweli....
Back
Top Bottom