Recent content by cox ngolle

  1. C

    Kampeni zimeanza ila kuna watu wawili hawaonekani

    Hao hawana jipya huko walitegemea kupata vyeo walivo kosa ndo wametimka
  2. C

    Aslay hizi sasa sifa zimezidi kipimo

    Umesema hawezi kuwadhalilisha,kama hawezi sasa unalalamika nini?
  3. C

    Nyalandu: CCM imeingiliwa na watu wenye roho mbaya

    Angefafanua uonevu wa vitu gani na niakina wanaofanya huo uonevu
  4. C

    Kuombewa na mtumishi wa Mungu GeorDavie ni laki moja kwa kila mtu

    Kwa mtu mjanja lazima uwe umegundua kwamba huyo ni mcheza mazingaombwe mungu ni mtoa bure
  5. C

    Airtel mnatukera na matangazo yenu

    Ni na kuunga mkono kwa hilo hawa jamaa wanaboa sana kwanini wactangazie kwenye vyombo vingine wanatumia dk 1 ndo unakuja kupa jibu kuwa hapatikani utaratibu huo ni mmbovu saaaana
  6. C

    Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

    Huyu jamaa mambo yake mm cmuelewi mbona anapeda sana bifu na wa2 sasa huo ni uchungaji gani?
  7. C

    Siri ya Watoto Mazezeta Kwenye Biashara za Wahindi Hapa Tanzania

    Ww umependa tu kuwasema hao wahindi mbona kuna mazezeta wengi sana wakibongo inamaana hao hujawaona?
  8. C

    Tangazo la ATCL linatia aibu mno!

    Tupe ushahidi ili nacwengi tuone huo udhaifu wabongo tunataka ushahidi
  9. C

    Natafuta mwanamke wa kuoa kwa mkataba wa miezi tisa

    Tz hakuna ndoa ya mkataba
  10. C

    Wabongo igeni na hii

    Alikuwa anajifunza kukaa kwenye jeneza siyo kifo
  11. C

    Wabongo igeni na hii

    Alikuwa anajifunza
Back
Top Bottom