Airtel mnatukera na matangazo yenu

chew

JF-Expert Member
Jan 2, 2016
229
142
Wana jamvi samahani kama ntakua nimewasilisha mada kwa jazba. Kiukweli hawa Airtel wananipa karaha pale unapompigigia mtu simu na badala ya kukwambia kwanza kama namba unayopiga haipatikani au inatumika, wanaanza na matangazo ...Tena marefu kweli.

Sioni kama ni vema kufanya hivyo, nashauri muanze kwanza kutujulisha kama namba haipatikani, au inatumika, then muanze hayo matangazo. Kitengo cha marketing naomba liangalieni hilo.
 
Ni na kuunga mkono kwa hilo hawa jamaa wanaboa sana kwanini wactangazie kwenye vyombo vingine wanatumia dk 1 ndo unakuja kupa jibu kuwa hapatikani utaratibu huo ni mmbovu saaaana
 
MI naona umependa mwenyewe kuyasikiliza sababu kama simu uliyopiga inapatikana itasikika sauti ya mlio WA muito,kama yuko busy au hapatikani ndio utasikia matangazo,kwahyo ukisikia matangazo yanaanza kata hiyo simu
 
Ukitaka kujua kwamba airtel ni kimeo, ingia kwenye page yao ya facebook halafu pitia kila post yao, lazima utakuta washkaji wanalalamika.

Airtel Tanzania
 
NILIVYOONA POST HII NILIJUA UNAONGELEA ISAUE YA NET YAO KUWA KIMEO. HII NAYO NI KERO. WAACHIE MTANDAO KB ZANGU ZIKIISHA HARAKA POWA SIO KUTUBANIA ETI MATUMIZIBYAKP YAMEFIKIA KIWANGO CHA JUU KWANI MIMI SIJUI.
 
Ndio hao wanaojisifia wana HATUPIMI BANDO, lakini mbona linachacha... wangeondoa HIYO YA SIKU, WIKI NA MWEZI
 
Back
Top Bottom