Kuna mkuu wa mkoa mmoja, yeye kila siku alikua anakusanya watu ili awahimize watu aliowakusanya kupunguza mikusanyiko
Naona sasa takwimu za mkoa wake yeye ndo kinara wa maambukizi Tz!
Alikuwa T-bag..tena nakumbuka alimeza funguo katika situation mbili tofauti
1.walipotoroka tu jela,akajifunga pingu mkono wake na wa scorfield ili wasimtoroke,halafu funguo akameza...ila jamaa walikuja kumkata mkono,daaaah hii seris kiboko
2.na mara nyingine ndo wakampa bakuli aende akaunye
Fernando Sucre mzee wa malavi davi
Abruzzi, huyu ndo alikua kiboko ta T-bag
Alex Mahonne, genious wa pili ukimtoa Michael Scorfield
hii seies pamoja na 24 itabaki kuwa best ever miaka yooote!!
Unaacha kuangalia series tamu balaa kisa tu umesikia baada ya kuambiwa jamaa ni shoga...yaaaan umesikia tuuu
Ajabu Zaidi bado unatazama maseries kibao ambayo ndani yake yanaonyesha kabisa ushoga!!
unajitekenya mwenyewe halafu unacheka mwenyewe,hehehehehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.