Kweli kwa sasa vyakula vimepanda Bei sana vya broiler yan inafika hatua mpk inakatisha tamaa kuendelea kufuga ila ukisema uchakachue kuku nao unakuta wanadumaa unapata hasara kubwa zaidi yani ni changamoto kwa kweli
Nimenunua Mtaa Wa Aggrey Pale Chief Walinianzia 380K Sema Nilizunguka Kweli Maduka Mengi 420K Mwisho 390K Nikabahatisha Duka Moja Mtaa Huo Ndio Nikachukua Mkuu Vipi Lakini bei Ipo Sawa Maana Nikawa Na Wasiwasi Isije Ikawa Copy Au Namna Fulani Walifungua Kwenye Seal Kabisa Lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.