Humu ndani vichwa vya panzi tupu. Yaani mtu ukiwa ccm ni dhambi kubwa duniani na mbinguni. Hoja ndogo mnatumia nguvu kubwa sana ndiyo maana wenye akili wamewaacha na ujinga wenu. Shem on you ccm!
Habari ndo hiyo ccm wataisoma namba october 25,2015.nawashauri wajiandae tu kisaikolojia kuwa wapinzani na sio wanakuwa na vitisho kama jana alichofanya bwana abdala bulembu
Dr benson bana ndo mwl wenu wa uchambuzi wa siasa ambaye ni kada wa ccm hii hatari.. ccm mtalia sana mwaka huu ukawa mbele kwa mbele kamwe haturudi nyuma..
Hata mimi nimeshuhudia watu wakizomewa walio vaa mavazi ya ccm kwanzia mida ya saa nane mchana leo wakikatiza maeneo ya k/koo na kuanza kuzomewa na wafanya biashara wa k/koo kwakweli ccm imechokwa vibaya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.