Hiyo hela utailipa niamini. Kuna rafiki yangu ilimtokea wakamwita aende na identity card then wakaichukua na siku mbili mbele kulikuwa na test na unapaswa kuwa na ID. Ikabidi apambane arudishe hela
Aysee ni kweli kabisa mkuu ni changamoto kubwa sana.barua inatumwa kwa katibu mkuu menejimenti ya utumishi wa umma kuomba kuendelea kutumia ile cheque number ya mwanzo.Lakini barua lazima ifanyiwe kazi na katibu mkuu kiongozi ili amwaandikie barua mwajiri nini la kufanya . ikumbukwe kwamba barua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.