Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Cha Msingi auchune Ila hiyo hela asiichezeee aiweke pending somewhere,unaweza ukataarifu mhasibu ndo akazipiga hizo pesa
Cha Msingi auchune Ila hiyo hela asiichezeee aiweke pending somewhere,unaweza ukataarifu mhasibu ndo akazipiga hizo pesa
Yap Huwa inatokea hivyo.Niamini Mimi hiyo Helaa utailipaa Tuu ukiitoa..! Kwa kunyimwaa bumu lijalooo..Ishawahi tokea kwa mshkaji
Mimi wangu ni ushauri tu, maamuzi atafanya yeye. Unauhakika gani watasubiri miaka 10 kumshughulikia?Acha uoga!
Vingap Serikali Yako Imekuibia
Twende Tuu Bar Tukanywe Balim Ndugu Yangu

Okay sawa, thanks for the adviceKuwa mwaminifu, nenda kwa mhasib wako wa chuo,,,,then umueleze kilichotokea
Mkuu hiyo ni bahati yako,zifanyie matumiz mengineo
sawa mkuuNikuamini mkuuNiamini Mimi hiyo Helaa utailipaa Tuu ukiitoa..! Kwa kunyimwaa bumu lijalooo..Ishawahi tokea kwa mshkaji
Kwaiyo ulikuja kuwalipa au ilkuaje..Hiyo ni pati ya kimya kimya. Kula hiyo pesa dogo. Niliwahi kuingiziwa pesa mara mbili mwaka 2006! By then tulikuwa tunapata boom dogo sana ilikuwa laki na nusu kitu kama hicho. Of course kwenye kulipa wakiangalia statement yako utakuja kulipisha but that will be in the next ten years!
Kula hela wacha uoga...
Kwanza kutangaza hapa ushaona uoga, hayo madudu yao ukitaka uwaweze we kula hela taratibu ila usiimalize yote ukiona bumu lingine imewekewa ndio uimalizie
sawa brosio makosa yangu mkuuduh the world is not fair yaani wengine hawajapewa hata senti ww umepewa mara mbili dah....
Thanks much, nimekuelewa mkuuushauri wangu, save it for the future, ukae ukijua kabisa bumu linalofuata hautapata, audit huwa inafanyika na ni lazima wata i trace kwenye account yako, huu ushauri nimekupa kwa sababu uneshaonyesha dalili za kutaka kuipiga
ukitaka kila kitu kiende sawa ka report sehemu husika, waichukue hela yao, hizo batch zinazofuata ni muhimu sana kwako kuliko kuwa blacklisted kwa utapeli
Hakuna tofauti yeyote serikali ni ile ile tuu ya majizi.Nyakati zimebadilika isije ikawa soo ya kukufutia mkopo kabisa. Kwa serikali hii rudisha tu yaishe.
dah! Basi kuna uwezekano na mimi nikadaiwa jina moja tuu ilo lingine wakalipotezea kama uyo jamaa nini..mimi ilimtokea room mate wangu 2012.. kwa miaka mitatu from 2009 mpaka 2012 alikula boom mara 2 semester zote.... alinunuaga gari kipindi yupo chuo..
kwenye kulipa deni kadaiwa kwa jina moja tu
waliingiza mara ya kwanza jina ndalandefu na mara ya pili ndala ndufu... huo ni mfano tu nimeutumia