yeye mwenyewe kakaa kimya unaleta yale mambo ya kina musa nkangaa kufungua kesi eti kwa vile batilda katukanwa kama sio yeye ana aje mwenyewe hapa kukana vinginevyo umeona maoni ya watu bila kujali kama ni yeye au sio yeye wamemchana livu na chama chake kama wana akili watakuwa wamepata ujumbe...
duh umenikumbusha mzungu mmoja siku moja alikuwa nahubiri kwa kiswahili kumbe kiswahli hajui vizuri akawaanazungumzia kuhusu upendo akasema Amri mpya ninawapa: Mpandane kama Mimi nilivyowapanda ninyi, vivyo hivyo nanyi pandaneni. ......
watu kanisani wakazimika haaaa haaaa haaa
Juzi nilikuwa nikiperuzi kwenye mtandao nikakuta wanasema mama mjamzito akitumia kilevi anashusha uwezo wa mtoto kiakili y. sasa najiuliza inakuwa mama mjamzito akitumia kilevi uwezo wa mtoto kiakili unashuka inakuwa watu wengi wenye akili ni watumiaji wazuri wa vilevi?
na je nini kinachoanza...
Thanks to you too. unajua test ya maisha ni tofauti kati ya asiye nacho na aliye nacho sasa siku huwezi kumjua maskini wala tajini kweli umaridadi huficha umaskini yaani unaweza kumkuta kapeche haju hata atakula nini machana lakini anamiliki simu ya milioni ambayo kazi yake ni kutuma na kupokea...
kumbe umeanza kutumi jana jioni sakapal wangu, ila kama unajimudu miliki simu usijefuga mbwa ukitegemea matapishi ya jirani kama baadhi ya kina dada wa mjini kila saa nitumie hata mia tano sasa mia tano ni hela ya kuomba kwenye simu kweli. maani mimi mwenzio nilinza na tritel enzi hizo nilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.