Wangu Toka Azae hali tena pumba yani hatki kabisaa tofauti na kabla hajawa na mimba!! Je shida ni nini???
Dawa nzuri za kuchoma ni za nchi gani au kampuni gani??
kuna mmoja nili muacha .kikawa kila saa kinapiga simu kwann nafungulia mbwa nikiwa naondoka kazini😂😂😂Mimi huwa nawaacha peke yake ila nafungulia mbwa nina Doberman 2 na Beligium malinos 3 na wote huwa wanamtindo wa kukaa mbele ya geti la nje akifanikiwa kuiba na kupita nazo nitampa saluti
83% wameongea ukweli mtupu kuhusu tabia zao@ wengi wao wameongea ukweli unao fanana kabisaa kwenye comment@Dada yangu ameolewa na watu wa huko@ pia nina mchumba nimempata huku kazini😨 yani ni vile vile kama watu wanavyo sema kwenye idadi nyingi ya comment 🤐kila la kheri@ umeniwai maana na mimi...
Hamis akiwa Segerea ameandila Kitabu Kuhusu tukio lake la mauaji ya Mke wake na anatamani Kila Mwanaume akisome hiko Kitabu.
1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua...
Leo Rafiki yangu kanisimulia👇🏻
Jamaa anasema, kuna mwamba alioa mwanamke mwenye mtoto wa miaka saba, akamlea yule binti kiroho safi kabisa na kwa upendo japo si bintiye akamsomesha inshot huduma zote jamaa akawa anatoa.
Baadae yule mwanamke wakafanikiwa kupata watoto wengine, sasa yule binti...
😃😃😃 Hii ni tangu Enzi zile za darasa la nne B.. kwenye mada za magonjwa na dalili zake..huwa mwalimu akigusia kitu fulani huwa gafla inatokea hivi!! Tangu 2003
Nikisikia jambo zito au stori inayohusu gonjwa baya mtu kapata au nikisikia taarifa yeyote ya oparesheni kubwa mtu anafanyiwa ninaemjua huwa mguu wa kushoto unaishiwa nguvu (yani unalegea kabisaa kama dk chache then unarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Je chini ya udongo kuna sukari? Nauliza ile sukari kwenye miwa (mua) inatoka wapi?
(2) Kwa nini mgomba unazaa ndizi? Mti wa mchungwa huzaa tunda la chungwa, muembe huzaa tunda la embe, mlimao huzaa limao, mnanasi huzaa nanasi ,mchenza huzaa chenza, mnazi huzaa nazi, mpapai huzaa papai!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.