Sasa mbona Trump anaomba msaada mpaka kwa mchina ili iweje? Kama tayari wanamiliki anga la Iran? Tatizo mnasikiliza uongo wa Trump bila kujiuliza mara mbili.
Kuchelewa kuwekeza, iwe shamba, kiwanja, hisa, nk. Maana kuna sehemu niliwekeza kidogo sana wakati nasoma ila pamekuja kuwa msaada sana kwangu kama sehemu ya kuinukia kimaisha. WEKEZA.
Unajua mpaka leo hii, Tanzania tunagiza toothpick nje ya nchi? Stick za kuchomea nyama(mishkaki) pia hatutengenezi! Malighafi zipo(mianzi) ipo kibao iringa na Morogoro hapo.
Mashine complete(production line) niliuliza haizidi 15M pesa ya kitanzania pamoja na kodi.
Hebu jaribu kulichakata hili...
Yawezekana ni kweli kwa kile ulichoshauri mkuu. Ila nafikiri sio wote, maana nimepata mke mwema kutoka Arusha, naishi nae mwaka wa 8 sasa sijaona matatizo kutoka kwake. Changamoto ni chache sana na zenye kuvumilika kibinadam.
Namshukuru Mungu kunipa mke mwema kabisa.
Jitahidi uimalizie mapema mkuu, maana story za humu ukiweka kwa interval ndefu wengi wataipotezea, wakati wengi wetu tunataka tujifunze kwa bwana Juma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.