Recent content by Coolant

  1. Coolant

    Heri ya Eid al-Fitr, furaha na amani iwe nanyi 🌙⭐

    Eid ipi? ya bakwata au ya answari suna?
  2. Coolant

    Sangara Ziwa Victoria: Ni Baraka kwa Uchumi au Laana kwa Ikolojia ya Samaki wetu wa Asili?

    Maelezo mazuri, pia mimi naona ongezeko la watu limechangia upungufu wa samaki. Ukipita maeneo ya ziwani nyakati za usiku idadi ya wavuvi ni kubwa hadi inatisha.
  3. Coolant

    Je, Putin anajifunza kitu kutoka kwa Marekani na Israel? Hawa jamaa wanatoa Elimu kwa Vitendo

    Unataka kusema hata huyu wa kwetu wanamuona akiwa ana poo, au hawana mpango nae?
  4. Coolant

    Huna Sababu ya kung’oa Jino Lako, Njoo Utibiwe mapema

    Hiyo root canal treatment ndio inahusisha ma X-ray mengimengi?
  5. Coolant

    Hello fam it is me beautiful girl

    Bado asubuhi sana mrembo, ngoja kwanza tukatafute hela.
  6. Coolant

    Tujikumbushie matukio na mambo ya miaka 2000

    Nakumbuka kipindi cha tamasha la michezo ITV siku ya jumapili. Alikuepo mwamba Patrick Nyambela na captain Michael Malue, nilikua sikosi kuangalia hichi kipindi. Nakumbuka 1999 walirusha mechi ya fainali ya UEFA kati ya Bayern na United, japokua ilikua marudio ila tuli enjoy sana.
  7. Coolant

    Naombeni ushauri

    Kwakua bado una nafasi, oa mwanamke mwenye mtoto wako usije ukajutia badae maana hakuna mwanamke anapenda kuona mume wake ana hudumia mtoto wa nje. Hata ukisema umchukue mtoto ukae nae bado utakua hujamaliza shida. Maugomvi hayataisha ndani, mshukuru Mungu kwakua bado una nafasi ya kuyaepuka.
  8. Coolant

    DOKEZO Walioitwa kwenye mafunzo Zimamoto, siyo wale walioitwa kwenye usahili

    Kijana kama wewe sio mbogamboga sahau kupata hizo nafasi maana wanachukuana wenyewe kuanzia ngazi ya matawi, kata hadi wilaya. Nakuonea huruma sana ila ndivyo ilivyo, cha msingi usijichoshe.
  9. Coolant

    Ni chakula gani ungekula kila siku bila kuchoka?

    Kila siku Ugali dagaa, kwenye dagaa weka pilipili hoho za kutosha, karoti, bamia na nyanya chungu.
  10. Coolant

    Usanii wa Serikali na mauti ya Wasomi: Masters yangu imekuwa kitambaa cha deki mtaani

    Wenye masters ndio mnaandika bila paragraph?
  11. Coolant

    NHC Kijichi hizi bei

    Ndio maana zinachakaa mapema.
  12. Coolant

    Wahenga wanasema usishindane na mwanamke ni kweli kabisa

    Najaribu kukuelewa ila nashindwa, labda nna hangover.
Back
Top Bottom