Maelezo mazuri, pia mimi naona ongezeko la watu limechangia upungufu wa samaki. Ukipita maeneo ya ziwani nyakati za usiku idadi ya wavuvi ni kubwa hadi inatisha.
Nakumbuka kipindi cha tamasha la michezo ITV siku ya jumapili. Alikuepo mwamba Patrick Nyambela na captain Michael Malue, nilikua sikosi kuangalia hichi kipindi.
Nakumbuka 1999 walirusha mechi ya fainali ya UEFA kati ya Bayern na United, japokua ilikua marudio ila tuli enjoy sana.
Kwakua bado una nafasi, oa mwanamke mwenye mtoto wako usije ukajutia badae maana hakuna mwanamke anapenda kuona mume wake ana hudumia mtoto wa nje. Hata ukisema umchukue mtoto ukae nae bado utakua hujamaliza shida.
Maugomvi hayataisha ndani, mshukuru Mungu kwakua bado una nafasi ya kuyaepuka.
Kijana kama wewe sio mbogamboga sahau kupata hizo nafasi maana wanachukuana wenyewe kuanzia ngazi ya matawi, kata hadi wilaya.
Nakuonea huruma sana ila ndivyo ilivyo, cha msingi usijichoshe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.