Recent content by Conservator

  1. Conservator

    Alilaumiwa Magufuli kuhusu Maded: Leo Samia afukuza Kazi maded walioruhusu Kadi za CCM kurudishwa

    Mods huu ni upotoshaji. Rais alikerwa na maamuzi ya DC na DED kutopeleka mradi eneo moja kwa madai kuwa wananchi wa eneo hilo ni wapinzani.
  2. Conservator

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Wana JF. Hili ni jukwaa pekee ambalo tunathubutu kusema ukweli wazi wazi. Naamini kabisa kuna wanajukwaa humu wanaujua ukweli. Hebu tufunguke, kwanini viongozi wa Kanisa hasa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) wanapinga sana suala la serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  3. Conservator

    Je, inawezekana kubadili shule uliyongiwa kidato cha tano?

    Jamani hivi kwanini hizi selection hazipo kwenye tovuti ya tamisemi?
  4. Conservator

    Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

    Aaah kaka umenimotivate shaaanaaa
  5. Conservator

    Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

    Mkuu vipi hii model ya kuazia 2008 - 2013? GRS 200
  6. Conservator

    Ufadhili wa Masomo (Scholarships): Undefeated form of Neo-Colonialism

    Ninachokiona, Hatujawekeza vya Kutosha katika vyuo vya Kati. Kwa mfano, katika suala la ujenzi, Halmashauri nyingi zinahitaji mafundi sanifu, wasanifu majengo n.k lakini unakutana ni wachache sana. The likes of Arusha Techinical College tungeviongeza katika kila mkoa ikiwezekana. Vile vile kwa...
  7. Conservator

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Tuambie zaidi Mkuu. Ni ajali tu au ni kutokana na gari lenyewe ndo mana ukagala gala
  8. Conservator

    The samianism of mineral extraction in wildlife protected areas: je tunalionaje?

    Asante Mkuu. Wacha tusubiri wengine wanasemaje
  9. Conservator

    The samianism of mineral extraction in wildlife protected areas: je tunalionaje?

    Helo WanaJF, Jana tarehe 06/04/2021 alipokuwa akiwaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu na Wakuu wa Taasisi za Serikali, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alitoa maelekezo ya kuangaliwa upya uwezekano wa kuchimba madini yaliyopo kwenye maeneonya hifadhi hasa...
  10. Conservator

    Kuhusu msimamo: Je, Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi wa aina gani?

    Mkuu, nimewaza kwamba kulingana na wazo lako ambalo wengi tunaweza kuliafiki.. Je kwa kipindi ambacho bado anajifunza.. anapaswa kufanya nini.. Kumbuka hakuna kuendesha nchi kwa majaribio..
Back
Top Bottom