Jovin john
Member
- Oct 13, 2020
- 14
- 3
Je, inawezekana kubadiri shule ulopangiwa kidato cha tano?
Nasbr na mm msaada maana nna dogo langu kapangwa ILBORU-Hgl wakt ndoto zake ni kuso,ma PCB, HGL ana point 4 Pcb ana 9Je inawezekana kubadiri shule ulopangiwa kidato cha tano
Jaman tupeni huo mwongozo mi mwenywe nmechaguliwa shule ambayo ndio inaanza mwaka huu Sina iman nayo kabsa😱😱Ngoja waje kukupa muongozo...
Jamani tupeni huo mwongozo mimi mwenywe nimechaguliwa shule ambayo ndio inaanza mwaka huu sina imani nayo kabsaNgoja waje kukupa muongozo...
Mwongozo lini jmnJamani tupeni huo mwongozo mimi mwenywe nimechaguliwa shule ambayo ndio inaanza mwaka huu sina imani nayo kabsa
bora wewe kidogo unafahamu background ya shule, eti mimi naenda kuifungua af ni pcb kweli.Hata mimi naomba mwongozo nimechaguliwa shule ambay back ground yake haipo pow alafu niende PCM Kwel jamani
Serikali imempeleka uko ikiwa na maana yake wacha mtu asome alipo pelekwa siku hizi ndoto hazitimii hata ukiota unakunya lazima utastuka uone kama ni kwiNasbr na mm msaada maana nna dogo langu kapangwa ILBORU-Hgl wakt ndoto zake ni kuso,ma PCB, HGL ana point 4 Pcb ana 9