zxcvbnm
Member
- Sep 20, 2018
- 68
- 97
- Thread starter
- #41
Ikiwa imejaa ulaji wake unakuwa mzuri zaidi mkuu,Ila mafuta yakiwa machache ulaji unakuwa mkubwa Mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu.
Ikiwa imejaa ulaji wake unakuwa mzuri zaidi mkuu,Ila mafuta yakiwa machache ulaji unakuwa mkubwa Mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
karibu mkuu
ila naona kwenye zile za nyuma data za mafuta hazipo (katika tovuti niliyoweka hapa)...
mimi nina pickup moja ya zamani sana na nilikuwa sijui ulaji wake wa mafuta. nilichofanya ni vifatavyo:
nilitambua kua lita 1 inauwezo kunitembeza kilomita 8. sasa kwa kuwa Crown kidogo ni jibaba sisemi ujaribu ila kama ukipata dumu la lita kumi, la chuma, huenda ikasaidia utafiti kama Google inakuangusha!
- nilichukua dumu la lita 5 na kujaza mafuta
- yale yaliyo baki kwenye tenki ya gari nilitumia mpaka gari kunizimikia
- nikaweka zile lita 5 na kufuta kilometer kabla ya kuendelea na safari (ilikujua hizo lita 5 zitanipeleka umbali gani huku nikizingatia spidi isiyozidi 80)
wazo tu mkuu!
Utaovatekiwa na Passo hutaamini macho yako... Kuwa na gari either yenye acceleration kubwa au fuel efficient. Somewhere in between is a wastage.Kwanini 3,000 na sio 2,500 ?
Huyo ni muongo hakuna cc ya 3000 kwa toyota crown baada ya 2500 inayofata ni 3500 ambazo nyingi ni hybrid then inakuja 4300cc ambazo hizo cc utazikuta ktk crown majesta v8
Au atafute Toyota sprinterUnywaji murua sana wa hii gari ni 13kpl ikiwa speed ila ikiwa slowly ni chini ya hapo!
Kwa Class ya gari tu thats a Luxury Sedan! Kwa kawaida Luxury cars nyingi huwa hazina fuel efficiency nzuri japo intensity itatofautiana kwa vipato vya mtu na mtu!
Ila burudani imo kwa kweli, kama target ni burudani ishi humo ila kama target ni mafuta machache ruti nyingi jisalimishe kwa shujaa wa misele “IST”
Sprinter gari ya ma Rastafara! Imekaa kigumu sana ile chuma😂Au atafute Toyota sprinter
I'm the owner of itUnaongelea kutoka experience au maneno mkuu ?
Simple.karibu mkuu
ila naona kwenye zile za nyuma data za mafuta hazipo (katika tovuti niliyoweka hapa)...
mimi nina pickup moja ya zamani sana na nilikuwa sijui ulaji wake wa mafuta. nilichofanya ni vifatavyo:
nilitambua kua lita 1 inauwezo kunitembeza kilomita 8. sasa kwa kuwa Crown kidogo ni jibaba sisemi ujaribu ila kama ukipata dumu la lita kumi, la chuma, huenda ikasaidia utafiti kama Google inakuangusha!
- nilichukua dumu la lita 5 na kujaza mafuta
- yale yaliyo baki kwenye tenki ya gari nilitumia mpaka gari kunizimikia
- nikaweka zile lita 5 na kufuta kilometer kabla ya kuendelea na safari (ilikujua hizo lita 5 zitanipeleka umbali gani huku nikizingatia spidi isiyozidi 80)
wazo tu mkuu!
Average ni 8-9kpl kwa misele ya town! Kama mfuko wako uko freshi ukitia full tank ukawa unajazia ifikapo nusu tank utainjoy zaidi!
Kama gari haina service au imetokea kwenye mmiliki mwenye mkono wa birika lazma iwe na poor economy 6-8kph kwa misele ya below 40KPH speeds!
Ni GRS202 ile nadhani hazijapishana sana, improvement itakuwa ni slightly sana maybe hardly 9-10km/l and 14km/l on highwayMkuu vipi hii model ya kuazia 2008 - 2013? GRS 200
Mkuu vipi hii model ya kuazia 2008 - 2013? GRS 200
Kwa hapa Dar hio speed ataipatia wapi bila kupigwa mkono? Labda atembee usiku wa manane!Simple.
Jaza full tank, set odometer ya trip a to 0.
Tembea km kama 100 au 150 katika 80kph.
Rudi petrol station ileile jaza full tank tena.
Hizo lita zitakazosoma ndo ulizotumia kwenye hizo km 100.
Kama umejaza lita 20 basi ujue ulitumia lita 20 kwenye hizo km 100 ulizotembea.
Mjomba usiongee usichokijua 😂😂😂 no research no right to speak!Huyo ni muongo hakuna cc ya 3000 kwa toyota crown baada ya 2500 inayofata ni 3500 ambazo nyingi ni hybrid then inakuja 4300cc ambazo hizo cc utazikuta ktk crown majesta v8
Ni GRS202 ile nadhani hazijapishana sana, improvement itakuwa ni slightly sana maybe hardly 9-10km/l and 14km/l on highway
Kuna city na highway.Kwa hapa Dar hio speed ataipatia wapi bila kupigwa mkono? Labda atembee usiku wa manane!
Hapo sasa uniambie aitafute mbezi-bagamoyoKuna city na highway.
Lengo ni kujua matumizi ya mafuta akiwa mjini na highway.
Ukiwa mjini unatembea speed ya mjini na highway unatumia 80kph ambayo ndo inatumika kujaribu.
Aanzie Bunju Bagamoyo kuna kakipande anaweza maliza hata 260Hapo sasa uniambie aitafute mbezi-bagamoyo
Bagamoyo - Msata ndo the best.Hapo sasa uniambie aitafute mbezi-bagamoyo
Yah hapo ataipata 80Kph vizuriBagamoyo - Msata ndo the best.
Au msata - segera.
Mkuu kiukweli mimi gari ambayo nikitaka kwenda kijijini kwetu naanza kujichanga nauli za bus siwezi kuinunua kabisaLuxury ambayo huwezi kutoka nje ya jiji ni gereza la kifahari!
Average ni 8-9kpl kwa misele ya town! Kama mfuko wako uko freshi ukitia full tank ukawa unajazia ifikapo nusu tank utainjoy zaidi!
Kama gari haina service au imetokea kwenye mmiliki mwenye mkono wa birika lazma iwe na poor economy 6-8kph kwa misele ya below 40KPH speeds!