Recent content by conservative3

  1. C

    Je, kuna haja ya kuendelea kutumia Sanduku la Posta (SLP) katika shughuli za kiofisi ukizingatia teknolojia imeshakua sana?

    Nimeshudia mengi ktk simu na email. Moja ,watu wengi wamefunguliwa au kusajiliwa WhatsApp Kwa kutumia email ya mtu au email ambayo haitumii ilikua Kwa ajili ya WhatsApp. Pili watu wengi wamesajikiwa Kwa vitambulisho vya ndugu jamaa marafiki na hat hao wauza line. Tatu,email ziko reliable mfano...
  2. C

    Wazo: Je, tunaweza kuifuta form six? Yaani Mwanafunzi akianza form one (Non-stop) aende mpaka form five, alafu anajiunga na chuo?

    Tunaweza kufuata form five na six ila form four ikawa form six na form two ikawa form four na la Saba. Ikawa form two na la nne ikawa la Saba. Kwa kuweka mitaala inayo endana na mahitaji yetu . Mengine ambayo si ya lazima. Yakawekwe jkt ,ambapo kuwe na kambi za kibiashara ,kimkakati ambapo...
  3. C

    Wazo: Je, tunaweza kuifuta form six? Yaani Mwanafunzi akianza form one (Non-stop) aende mpaka form five, alafu anajiunga na chuo?

    Tunaweza kufuata form five na six ila form four ikawa form six na form two ikawa form four na la Saba. Ikawa form two na la nne ikawa la Saba. Kwa kuweka mitaala inayo endana na mahitaji yetu . Mengine ambayo si ya lazima. Yakawekwe jkt ,ambapo kuwe na kambi za kibiashara ,kimkakati ambapo...
  4. C

    Maskofu wa KKKT tuiheshimu Katiba yetu kwanza kabla ya kujadili Katiba ya Nchi

    Tatizo si askofu,tatizo inaanza ngazi ya familia,jamii Kwa ujumla, Km mnachagua wajumbe WA halimashauri kuu wasiokua na maono au kujua wajibu wao . Ni neema.tu ya Mungu ndoninasaidia hapo lazima papwaye. Km lengo kurekebisha tuanze na namna ya wajumbe wanavyopatikana na haki kinga na majukum...
  5. C

    Mkoa wa Pwani una vijiji na Mapori ya kutisha sana

    Hilo ni Sawa kufanya rejea . Kitu cha msingi ni kusisitiza mafungu ya mafunzo endelevu Kwa majeshi yetu kwenye Nyanja tofauti tofauti hasa kwenye maghala ya zana zao na kuwahi viashiria vya ajali za majanga km hizo zinapotokea ila ,hata huko pwani 2070 patakua mjini. Kwa Kua hata bomu...
  6. C

    Mkoa wa Pwani una vijiji na Mapori ya kutisha sana

    Suala la kuanzisha kambi mpya si suala Baya, ila linahitaji rasilimali pia. Nadhani tuna changamoto kubwa kwenye. Huduma za kijamii km elimu afya ,malipo ya wastaafu ,Ajira mpya nk. Kuliko hizo kambi. Kuna wakati mabomu yalilipuka,majibu tulipewa kuwa kambi ziko kiutaratibu kutokana na...
  7. C

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Inaonyesha kuwa shushushu wa marekani wamekamatwa wengi kuliko wa urusi .au marekani anamchokoza zaidi urusi kuliko urusi anavyomchokoza marekani.
  8. C

    Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

    Hilo ni Sawa ndo maana ya zamani haikutolewa. Tatizo unapokua na gauge ya reli ambayo mpo nchi chache pia vipuri. Na mitambo kupata ni shida. Hivyo always itakubidi uwe na special order ambayo ni ghali zaidi au upate. Lowest quality ya vipuri kutoka Kwa mwenzako mwenye gauge km yako
  9. C

    Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

    Ghalama za ukarabato WA leli ziko Chini kuliko barabara kuzingatia mizigo mizito ndio huaribu barabara na ghalama za uchukuzi Kwa tani Kwa km ziko Chini kwa kuitumia reli kuliko barabara. Km ingefanyika Kwa usahihi na bila huduma za wamiliki WA maroli. Hivyo automatic maloli yangerud vijijin...
  10. C

    Moja ya mambo yanayochangia migogoro kwenye ndoa nyingi ni wanaume kuingia kwenye ndoa wakitarajia wake zao kuwasaidia majukumu yao

    Wanabodi Changamoto nyingi za ndoa zinatokana na mambo mengi ila makubwa matatu. Moja Ni kukosekana Kwa hekima. Busara na maadili.kwa pande zote . Pili changamoto za muingiliano WA desturi na mila.hapa watu wanaoana Hawajuani hivyo ni namna gani wanaweza kuwa flexible Ku adopt changamoto za...
  11. C

    Kuna umuhimu Mke kujua kipato cha Mume?

    Ni vema wenza wote vipato vyenu kujulikana ili muweze kupanga mipango kulingana na kipato ila Kwa sababu ya ubinafsi hila na mashaka..sio kitu chema,cha msingi kuwe na just approximate figure ili muishi maisha marefu yenye Amani na furaha.
  12. C

    NSSF ifanyiwe ukaguzi wa uhakika kimaadili na kiutendaji

    Ila mwandishi amesema wazi kuna sehemu. Wanawajibika. Vema na kuna sehemu waZembe tena Kwa mitano. Tusilee wazembe ,MTU anatoka kwenye majukim.yake ya kazi Kwa wakati apate huduma Kwa wakati. Jamani tuwaonee huruma watanzania
  13. C

    Serikali dhalimu ni dhalimu! Harakaharaka unalipa 75 billion fidia kwa kesi ya kimagumashi?

    Bongo tuna shida...tunamlaumu JPM halafu baadae bandari ya mwarabu tutamlaumu chifu ushungi, ikiwa atakuja Rai's ambaye ataona kuna tatizo la.mkataba wa bandari. Mimi nashauri tuvunje mikata na faini tulipe ili Akili ikae siku tukienda kupiga Kura tujue tunafanya maamuzi gani. Hatuwezi kukwepa...
  14. C

    Kwa Katiba ya KKKT - DMP, Zanzibar ni Jimbo lakini Kisiasa Zanzibar ni Nchi. Nashauri KKKT wafikirie kuifanya Zanzibar kuwa Dayosisi!

    Dayosisi si lazima ziangalie mipaka ya kisiasa ,kuna mambo mengi ya kuzingatia ,pia km vigezo vikikidhi nadhani wakati ukifika wataipa hiyo hadhi,au wa KKKT wenyewe mnasemajr
Back
Top Bottom