Serikali dhalimu ni dhalimu! Harakaharaka unalipa 75 billion fidia kwa kesi ya kimagumashi?

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,177
11,504
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na atashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).

Hawa watanzania mafisadi wanasema andika fidia billion 75. Wewe tutakupa billion 5 alafu billion 70 ni zetu! Kesi inaendeshwa kimagumashi kimyakimya mara Tanzania imeshindwa kesi na fasta from nowhere muamala wa billion 75 unalipwa!
 
1. Una hakika na hayo unayoongea? Ukiitwa unaweza thibitisha?

2. Ningekuona wa maana sana ungelalamika na kuhoji mfumo mzima. Wacha kulaumu ulipodondokea laumu ulipo jikwaa

3. Pigania kati ya aliyeingia mkataba wa kijinga au/na aliyevunja mkataba. Kuna mmoja hapo anatakiwa anyongwe
 
Serikali kimekuwa kikundi Cha watu wachache Kwa ajili kupora rasilimali za wananchi.

Hivi inaweza kuingia akilini eti Burundi ambapo Huwa tunaambiwa tuhamie Diesel Lita moja wanauza 2,540 wakati Kigoma diesel Lita moja inauzwa 3,700..........!
 
Serikali kimekuwa kikundi Cha watu wachache Kwa ajili kupora rasilimali za wananchi.

Hivi inaweza kuingia akilini eti Burundi ambapo Huwa tunaambiwa tuhamie Diesel Lita moja wanauza 2,540 wakati Kigoma diesel Lita moja inauzwa 3,700..........!
kuna la kufanya kama nchi! lipo!


JESUS IS CHRIST
 
Kuna mwanasiasa makini Alitoa tahadhari juu ya uvunjaji mikataba hiyo !!! Wabunge wa ccm na akina Elitwege wakamtuka na kumbeza kuwa sio mzalendo ,Sasa jibu limepatikana
 
1. Una hakika na hayo unayoongea? Ukiitwa unaweza thibitisha?

2. Ningekuona wa maana sana ungelalamika na kuhoji mfumo mzima. Wacha kulaumu ulipodondokea laumu ulipo jikwaa

3. Pigania kati ya aliyeingia mkataba wa kijinga au/na aliyevunja mkataba. Kuna mmoja hapo anatakiwa anyongwe
Point zako mbili za mwanzo umeandika kama mwana siasa. Ila hiyo ya tatu kama Thomas Sankara. Shukran sana siwezi punguza neno au ongeza neno.
 
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na atashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).

Hawa watanzania mafisadi wanasema andika fidia billion 75. Wewe tutakupa billion 5 alafu billion 70 ni zetu! Kesi inaendeshwa kimagumashi kimyakimya mara Tanzania imeshindwa kesi na fasta from nowhere muamala wa billion 75 unalipwa!
Toa ujinga wako hapa kwenge wewe
 
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na sio mfuTiatashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).

Hawa watanzania mafisadi wanasema andika fidia billion 75. Wewe tutakupa billion 5 alafu billion 70 ni zetu! Kesi inaendeshwa kimagumashi kimyakimya mara Tanzania imeshindwa kesi na fasta from nowhere muamala wa billion 75 unalipwa!
Wewe sio mfuatiliaji wa mambo tu, yaani hiyo kesi imeendeshwa kimya kimya?!! Wakati kila kutu kilikuwa wazi na mawakili walionekana wakitetea kitu wasichokijua, Tatizo la nchi hii wanasiasa ndio huwaangushia jumba bovu wananchi!! Ktk hili JPM, ndio wa kulaumiwa kwani ndiye alilazimisha kufuta mkataba bila kuzingatia sheria za kimataifa zinasemaje. Na mbona bado zipo kesi nyingi tu.
 
Hawa viongozi tuliowaamini wana mgao! Wao ndo wanapanga fidia kiasi gani! Unakuta mlalamikaji wala hana neno na alishindwa kwenye kesi ya msingi ya kwanza! Sasa wanamwendea na kumlazimisha aifufue hiyo kesi na atashinda kwa fidia (labda tuseme 1 billion).

Hawa watanzania mafisadi wanasema andika fidia billion 75. Wewe tutakupa billion 5 alafu billion 70 ni zetu! Kesi inaendeshwa kimagumashi kimyakimya mara Tanzania imeshindwa kesi na fasta from nowhere muamala wa billion 75 unalipwa!
SSH ni bomu
 
Bongo tuna shida...tunamlaumu JPM halafu baadae bandari ya mwarabu tutamlaumu chifu ushungi, ikiwa atakuja Rai's ambaye ataona kuna tatizo la.mkataba wa bandari.
Mimi nashauri tuvunje mikata na faini tulipe ili Akili ikae siku tukienda kupiga Kura tujue tunafanya maamuzi gani.
Hatuwezi kukwepa kuwalaumu Mzee wa lupaso na msoga na Mzee ruksa Kwa mikataba mibovu.
Nadhani maandiko mengi yamejikita kumlaumu Mzee wa chato Kwa kuvunja na tukasahau ambaye aliingia mkataba. Yaani mara nyingi tuakumbuka tunapoangukia na sipo tulipojikwaa....
Yaani tunapokuwa na wasomi wengi ndioo tunapokuwa na shida nyingi, yaani siasa Safi na uongozi Bora ndio tatizo Kwa maana ardhi na watu tunao.
Shida ya pili ni sheria butu Kwa watu wanapoingia mikataba mibovu wanapaswa wapewe adhabu zaidi ya uhaini kuanzia Rai's mpaka wanasheria wetu...ndio Rai's awajibishwe kisheria na si kiasiasa. Hili ndio tatizo la.msingi.
Tupunguze maslah ya wabunge na mawaziri ili tuboreshe kazi za msingi za wqnanchi.
Haiwezekqni anae kuzalishia unampa milion hamsini mpaka anastafu (halafu mtumishi anakaa miaka 30 mpaka arobaini ndo apewe iyo pesa na kikokotoo juu na ndo unamtegemea asaidie wananchi)halafu mbunge anapewea maamia ya mamilion Kwa kila baada ya miaka mitano na watu wote wanajua na maisha yake ya kazi ni risky free.hii si ishara nzuri...ndo maana tunafadhiliwa uchaguzi ili tulipe fadhila za mikataba
 
Back
Top Bottom