Pole Sana. Ngoja tusubiri kizazi kilicho Bora zaidi yako katika kufanya maamuz. Ila usijidanganye kuwa KIONGOZI Yuko Kwa maslahi yako. Hata mwenye nia simuoni.
WAZIR mwizi anaipata Kwa SAA, inatoka hazina anaingia ALMASHAURI..inatoka ALMASHAURI inaingia Kwa MWIZI...cash ..CAG anakuja kutoa majibu badae Sana... billions zimepotea....ila nachojua MAKAMPUN YA SIMU YANAPATA HIYO PESA KWA SIKU.
Idea NI nzuri, Ila rekodi ya usimamiz na matumiz ya pesa za watu ndo mbaya Sana, kuamini CCM NI dalili nyingine ya tatizo la kufikiri na akiri finyu...TUTAFIKA hatua tutaanza kumshambulia MTU binafs badala ya mfumo ili kuondoa generalisation. Shabib kuwa bungeni NI matumiz mabaya ya Bunge...
Nafurahia msaatfu kuteseka kwasababu ndo hao walisababishia vijana wao wa Leo khali ngumu ya Maisha,(ndo walikuwa watunga Sera, wala RUSHWA, Wapiga vigelegele usalama wa TAIFA, watunga Sera). Leo vijana wanakosa shukran kwao kwasaba nao hawakuona kesho ya TAIFA lao . Huu utaratib ndo M40 pekee...
Apart from standardized nominal mix, that mostly used at situ , and structure construction, let now try to calculate at available data of designing advanced mix depending the requirements of clients and quality standards.assuming other factors are constant .How to design M40.
Welcome on the field!!
Bongo zozo kuimba nakupeperusha bendera NI Kwa matakwa ya nan? tpaul Acha uzwazwa..huo ni UZALENDO..hapo kuna waumini kutoka mataifa mengi...hivyo NI KUONYESHA Utz
Simuonei huruma mstaafu, kwani ndo kasababisha haya wakati akiwa mwajiliwa...hata KICHERE soon panga Hilo Hilo na lawama hizo hizo na kadhia hizo hizo za wastaafu zitampata yeye. Unapokalia kiti kizuri ukajioona Bora kesho atakaa mwingine atakubinya hivyo hivyo... MWISHO wa siku inakuwa MILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.