Recent content by Comrade Mwanangu Ps

  1. Comrade Mwanangu Ps

    Taarifa kwa Umma: Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo kugawa kadi za Bima ya Afya (NHIF) bure kwa wenye ulemavu 100

    Umeambiwa kadi za NIHF usitake kutufanya nasisi tuonekane walemavu wa fikra
  2. Comrade Mwanangu Ps

    Waziri Mkuu wa DR Congo, Sylvestre Ilunga Ilukamba, atakiwa kujiuzulu ndani ya saa 24

    Yaan Felix Tshekedi na mtangulizi wake Joseph Kabila wote ni sawa tu. Chamsingi Tshekedi ajipange vizuri tu katika kutekeleza na kulinda haki za watu wa Congo kwa maendeleo ya Congo kwa ujumla
  3. Comrade Mwanangu Ps

    Waziri mkuu wa DRC, Sylvestre Ilunga ajiuzulu

    I think hayo sio maendeleo ya kidiplomasia Bali ni ile Tsheked anataka tu kupunguza kelele za watu Congo.
  4. Comrade Mwanangu Ps

    Wakenya mnatuharibia Kiswahili

    Kwakweli wakenya Kiswahili waache kukiharibu maana sio kwa kuboronga huko wakiwa wanaongea. Eti hamna ngori mazey, yule mdada mcute, makarao, mwenye anajua mahali stima iko Ina produsiwa. N.k ushauri jifunzeni kwanza kabla hamjaanza kuongea.
  5. Comrade Mwanangu Ps

    Uganda: Hatujui mahali walipo watu waliopotea kipindi cha uchaguzi

    Kwakweli democracy kwa baadhi ya nchi za Africa zimekuwa na ncha Kali mithili ya miba usipo kuwa makini unachomwa.
  6. Comrade Mwanangu Ps

    Rais Museveni: Sitaki kupatanishwa na Upinzani

    Museveni kana kwamba hajui kiongozi Bora ni yule anae kubali kukosolewa, kishauriwa na hata kuonywa inapo bidi but hii imeshakuwa tendes kwamba kumkosoa, kumshauri ama kumuambia kiongozi ukweli kuhusu mapungufu yake nisawa na unamtukana. Je this is democracy ambayo nchi nyingi za ulimwengu wa...
Back
Top Bottom