Recent content by comrade masai

  1. C

    Katiba ya watanzania or ya CCM

    kwa jinsi mchakato wa katiba unavokwenda sidhani kama watanzania watapata katiba yenye matakwa yao,Ccm wanajaribu kwa kila njia kuharibu mchakato mzima wa katiba,wanataka mapendekezo yao ndo yawepo kwenye katiba.Hii ni katiba ya watanzania sio ya CCM.
  2. C

    Moses Kulola, Askofu Mkuu wa Makanisa ya EAGT afariki dunia

    apumzike kwa aman mtumish moses kulola
  3. C

    Dada yake MBOWE aikacha CHADEMA ajiunga na CCM!!

    achen ushabik ucokuwa na maana,Grace mbowe co dada yake mbowe,ayo ni majina tu yanafanana.fanyen uchunguzi kwanza kabla ya kushabikia habari
  4. C

    Kama Mulundi ni muongo basi Mwanahalisi ni wakweli

    wew tumia akili,iv kama wakina kilewo na lwakatare wangekuwa wanahusika na hili,wangeachwa?acha ushabik tunapojadil mambo ya msingi
  5. C

    Kujenga nyumba - Gharama za engineer na mafundi wake

    nichek kwenye no 0759966744.ndo kaz zangu hizo if upo seriously 2wacliane
  6. C

    Chuki dhidi ya wachaga zimefikia pabaya sana. Wenye husda, wapi mmedhulumiwa?

    hizi ni mada ambazo hazina afya kwa taifa,zinachochea ukabila,zipigwe mafuruku haraka sana
  7. C

    CCM kuibuka kidedea uchaguzi Arusha

    Juliana unaota ndoto za mchana
  8. C

    Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA ni hasara kubwa kwa Taifa!

    aliyeandika hii post hana akil
  9. C

    Naichukia CHADEMA!

    hauna logic
  10. C

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    mkuu hta chuo kikuu cha sayansi na technolojia mbeya(MUST),kuna wanafunzi walisimamishwa kufanya chuo kisa hawakufanya mtihani siku ya sabato
  11. C

    Ugaidi unaosemwa Tanzania ni kivuli kinachoishi na kula

    Bado kama taifa tunashindwa kutoa tafsiri sahih ya neno ugaidi,kwel kutuhurumiwa kumwagia mtu tindikali ni ugaidi?hebu tusaidiane wana jamvi
  12. C

    Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

    ivi hakuna njia mbadala ya kudhibiti wananchi zaidi ya kutumia risasi?kila siku matukio ya namna hii yanaongezeka!na je hawa wamachinga wanafukuzwa waende wap?au serikali inataka watu waendelee kupiga nondo!
Back
Top Bottom