Tofautisha LPG na LNG, mitungi ya majumbani ni LPG hii ndio imepanda bei na Gas hii inakua imported
Upande mwingine LNG ndio inatoka Mtwara na hii ndio inavituo vya kujazia magari maeneo mengi Dar na hutumika pia kwenye baadhi ya viwanda kama Twiga na Azam
Kuna bwana mmoja kutoka chuo cha UDSM phD holder wakusomea kabisa aliandika jina lake na prefix za Dr kwenye manifest ya ndege, kutoka Switzerland kwenda Spain
Safarini kuna abiria alijisikia vibaya hivo air hostess alimfata huyu bwana na kumuambia “Samahani wewe ni Dr. tunaomba msaada kuna...
https://tanzaniamassacre.org/Massacre
Kuna Video zinanonyesha wauaji wako na uniform nyeupe kama traffic police, kuna video zinaonyesha wauwaji wako na uniform za Khaki, kuna video zinanonyesha magari ya cruiser yenye nembo ya police
Swali kuntu “wakati hawa jamaa wako mtaani wanaua watu...
Ni Tanzania tu 6 lanes “Pedestrian crossing” zinakua barabarani
Kuzuia ajali na vifo vya waenda kwa miguu Tanroads ijenge pedestrian crossing za juu kama Manzese, Mbezi Magufuli, Buguruni, Morocco na Kimara mwisho
Kuvuka 6 lanes kwa miguu sio hatari tu bali inachangia na kuleta foleni
Hapana ila ukihitaji mkopo na kama una deni, “UTAWAJUA TU”
Madeni ya simu yanatesa sana kulipa BUSTISHA, NIVUSHE, SONGESHA
Unakuta unadaiwa 2,350/= hustle ya kuilipa Go n Return unatumia zaidi ya 60,000 mwezi mzima hadi miwili
Ingia website ya Credit Report - Creditinfo Tanzania
Ingia hapo personal credit report jaza taarifa zako za NIDA
Utapokea email yenye taarifa zako za madeni baada ya wiki 2 mpaka 4
Kikokotoo cha TRA ni kwa gari zilizokwisha kutumika au kua na usajili nje ya Tanzania,
Gari ambayo haina usajili kama,
Toka kutengenezwa unalipia
18% kutoka kwenye pesa ya manunuzi
Railway Levy fee
Port Charges na zingine chache nilizosahau
Ahsante sana, mbadala nimeamua kuweka chlorine mwenyewe pia nina mpango wa kwenda kuulizia filter ni bri gani kwa wataalam wa maji kina Davis & Shirftlife au Merrywater
Habari,
Kwa takribani miezi miwili kwa vipindi tofauti tofauti maji ya DAWASA upande wa Mbezi Beach yamekuwa yakitoka na rangu nyeusi au yawe machafu ambapo ukikinga kwenye ndoo au tank baada ya muda kuna mchanga/ udongo “una-Settle” kwa chini kwa chombo ulichokikingia.
Mbali na hayo mimi...
Hivi kuna watu “wanaDebate na 4yrs old”
Anaitwa “mtoto” hajui Reasoning, hajui hasara, hajui consequences za matendo yake
Mtoto anahitaji amri, asipoitii ni VIBOKO
Kama Baba zako na Mama zako walikuendekeza basi leo ni mojawapo wa kijana wa hovyo mwenye tabia kama
1. Umalaya
2. Pombe kupindukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.