Mkuu ukiwa bado unaishi jaribu kutoka nje ya Tanzania na kwenda nchi zingine, mabara mengine
Kuna jamii za watu wanakula
Scorpion 🦂
Spider 🕷️
Exotic animals huko Asia na kawaida sana kwao
Tembelea YouTube ya mtu anaitwa “Best ever review show” utastaajibu aina ya mimea na wanyama wanaoliwa...
Unapofanya wiring weka
1.5mm Taa na Feni
2.5mm Socket TV, Vingamuzi
4mm AC, Pasi Oven na vitu venye Watts 1000 na zaidi
6mm AC BTU 30000, Oven watts 3000
Pia hakikisha kwenye Main Switch MCB zimewekwa wire kutokana na “load” Ampire inayosupply
Kwasada sokoni waya ziko nyingi zenye material ya...
Gentlemen hii ni “proof beyond reasonable doubt” kwamba PGO haifatwi na Polisi huongozwa kutokana na Hisia za wanasiasa
Hivo naweza kusema pasipo na shaka Polisi anaweza kuagizwa chochote na Mwanasiasa na kufuata kwasababu utaratibu wa “Rule of Law” haupo kwao
Hizi huduma ZA internet majumbani
Zuku
Savana
Na wengine, kuunganishiwa ni bure ila lazima ulipie kifurushi cha mwezi 45,000 - 55,000 ili wa process account siku wakija wakiunga ianze kutumika onSpot.
Kwa maelezo yako Savanah hawana huduma ya internet maeneo hayo pengine ungeshare details zaidi...
Public transport ikiboreshwa na kufanya mtu asiwaze kuwasha gari hakika foleni zitaisha
Njia pekee ya kutoa hizi foleni ni Maboresho ya usafiri wa Uma
Bus ziwe na AC, uhakika wa Seat na kufika kwa wakati, vitu kama wifi kama Bus za mikoani ikiwekwa itapendeza zaidi
Tofauti na hapo hata mikoani...
Kipimo cha jamii ya watu wastaarabu Usafi ni Namba moja kama sio mbili.
Hali ya Jini la Dar kipindi hiki ni Dampo la Takataka zote, sio huku tu nenda
Kariakoo
Sinza
Mwenge
Magomeni
Takataka zimerundika mji mzima unanuka
Open Beach na zenyewe zimejaa chupa za plastics
% kubwa ya wananchi...
Sheria za Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania upande wa Mirathi zinamtambua kama mtoto sawa na watoto wengine
Akifika Mahakamani atapatiwa Mirathi sawa sawa na hao watoto wengine
Bye the Way, Tafuta Chako ukiona unawaza waza mirathi au kugombea mali za mwingine aliechuma umeFAIL katika utafutaji
Mkuu embu nieleze ziara hiyo ya Russia kuna makubaliano gani wamesign ambayo yataenda kukuza uchumi wa mwanachi mmoja mmoja.
Kingine kwa Russia anafaidika na nini kutoka Tanzania
Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.