Recent content by complex31

  1. complex31

    Marekani imeshindwa vita lakini masharti yake ya kusitisha vita ni ya kuchekesha sana

    SOURCE YAKO YA HABARI NI WAPI? “ Sijasikia kiongozi yeyote kutoka USA akitangzwa kuuliwa toka hii operation kuanza Upande mwingine kuna habari za Top leadership wa IRAN kuuliwa
  2. complex31

    Leo ni siku maalum ya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kukusudia Oktoba 29, 2025

    https://tanzaniamassacre.org/Massacre Rest in Paradise kwa wote waliofariki October 29
  3. complex31

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Christianity left Israel as a family, went to Rome as religion, went to England as politics and ended here in Africa as BUSINESS
  4. complex31

    Iran na Israel zinapigana bila kujali wala kuheshimu Ramadhani na Kwaresma. Mwafrika uliyeletewa dini, unafunga na kushinda njaa

    Umeandika vyema sana huu upuzi wa kufundishwa ukiwa mtoto hujitambui ndio inaleta shida kwa baadhi ya watu kukubali WALITAPELIWA kufundishwa hizi dini. Shtuka DINI zimeletwa zikufanye ushindwe kufikiria zaidi ya upeo wako
  5. complex31

    Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Dar - Nkasi Dar - Rusumo Dar - Mutukula Mbinga - Mtukula Hizi route nilinyoosha mikono
  6. complex31

    Hili la mavazi hasa kwa sehemu za dharura waliangalie tena, sio kwa ubaya

    Ukifika hizo sehemu ongea kiingera, “NO ONE WILL QUESTION YOUR OUTFIT NOR DENY ENTRY”
  7. complex31

    Museveni wa Uganda kaigeuza nchi kuwa mali ya Familia, Ndugu na Watoto, soma orodha ya vyeo walivyonavyo

    ✅ Confirmed or widely reported family members & positions 1) Janet Museveni ✔️ Minister of Education & Sports — First Lady and wife of President Museveni. This appointment is widely reported. 2) Muhoozi Kainerugaba ✔️ Chief of Uganda’s Defence Forces (CDF) — Son of Museveni and head of the...
  8. complex31

    Serikali ina mpango gani na sarafu yetu?

    Shoppers Supermarket ya MLIMANI CITY hawana “change” ya shilingi MIA au MIA MBILI Wanakupa Bublish ukale mbele ya safari Value zao cha “change” ni 500/= 1000/= na kuendelea
  9. complex31

    2026 kuanzia leo naacha kuangalia tena ITV,TBC na media zengine za TZ unaweza kutukana

    Media za Hapa kwetu ziko ICU, zina muda mdogo kuzikwa kabisa Millennials na Generation ya nyuma yake ndio waliobakia kuTune in hizi TV na Radio za tcra Wengi wenye smartphone kwa kiasi kukubwa wameacha kama sio kupotezea kabia Local Channels na Locale Radio kwa waishio kwenye Miji Mikubwa
  10. complex31

    Angalia Wasiojulikana wanavyosumbua Dereva wa Basi.

    Aliepost hiyo taarifa 17hrs ago ni mKenya na video imerekodiwa barabara ya Nairobi Mombasa refresh your brain, mliozaliwa 90’s kurudi chini ni rahisi kuaminishwa habari za uongo Uje pia ni barabara gani Tanzania ina mistari ya njano katikati na muepe pembeni, Jifunze uelimike
  11. complex31

    Angalia Wasiojulikana wanavyosumbua Dereva wa Basi.

    Tanzania hatutumik mistari ya njano kutenganisha barabara katikati na mweupe pembeni, hii ni Kenya Tanzania mistari ya njano inatumika pembeni na nyeupe katikati Kenya hutumia vice versa
  12. complex31

    Ilikuwaje marais wetu wote wakawa wakatoliki na waislamu tu?

    Kupokezana kijiti Roman Catholic na Muslim Akitoka RC anaingia Muslim ndio iko hivo na sababu itakua ni siri kati ya Nyerere na kina Abdul Sykes pamoja na Abeid Karume
  13. complex31

    Ndugu zangu katika Imani. Tukumbuke kuwa Allah ametuahidi.

    Christians, Islams adui yao ni mmoja “SHETANI” lakini mungu yuko tofauti na sheria zake ziko tofauti
Back
Top Bottom