Recent content by complex31

  1. complex31

    JamiiForums Tanzania Jose mla vichwa anawezaje kula nyama za ajabu!?

    Mkuu ukiwa bado unaishi jaribu kutoka nje ya Tanzania na kwenda nchi zingine, mabara mengine Kuna jamii za watu wanakula Scorpion 🦂 Spider 🕷️ Exotic animals huko Asia na kawaida sana kwao Tembelea YouTube ya mtu anaitwa “Best ever review show” utastaajibu aina ya mimea na wanyama wanaoliwa...
  2. complex31

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Unapofanya wiring weka 1.5mm Taa na Feni 2.5mm Socket TV, Vingamuzi 4mm AC, Pasi Oven na vitu venye Watts 1000 na zaidi 6mm AC BTU 30000, Oven watts 3000 Pia hakikisha kwenye Main Switch MCB zimewekwa wire kutokana na “load” Ampire inayosupply Kwasada sokoni waya ziko nyingi zenye material ya...
  3. complex31

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi hana mamlaka ya kumwamuru IGP

    Gentlemen hii ni “proof beyond reasonable doubt” kwamba PGO haifatwi na Polisi huongozwa kutokana na Hisia za wanasiasa Hivo naweza kusema pasipo na shaka Polisi anaweza kuagizwa chochote na Mwanasiasa na kufuata kwasababu utaratibu wa “Rule of Law” haupo kwao
  4. complex31

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi hana mamlaka ya kumwamuru IGP

    Jeshi la Polisi linaongizwa na PGO au tamko kutoka kwa “Waziri”?
  5. complex31

    JamiiForums Tanzania Anayefikiria kujiunga na Savanna Fibre kuwa makini sana

    Hizi huduma ZA internet majumbani Zuku Savana Na wengine, kuunganishiwa ni bure ila lazima ulipie kifurushi cha mwezi 45,000 - 55,000 ili wa process account siku wakija wakiunga ianze kutumika onSpot. Kwa maelezo yako Savanah hawana huduma ya internet maeneo hayo pengine ungeshare details zaidi...
  6. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ina mpango gani kuondoa foleni ya barabara ya Mandela?

    Public transport ikiboreshwa na kufanya mtu asiwaze kuwasha gari hakika foleni zitaisha Njia pekee ya kutoa hizi foleni ni Maboresho ya usafiri wa Uma Bus ziwe na AC, uhakika wa Seat na kufika kwa wakati, vitu kama wifi kama Bus za mikoani ikiwekwa itapendeza zaidi Tofauti na hapo hata mikoani...
  7. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Gongo la Mboto A na B: Taka zalundikwa Barabarani, zinaleta uharibifu wa barabara na kuhatarisha Afya za Watu

    Kipimo cha jamii ya watu wastaarabu Usafi ni Namba moja kama sio mbili. Hali ya Jini la Dar kipindi hiki ni Dampo la Takataka zote, sio huku tu nenda Kariakoo Sinza Mwenge Magomeni Takataka zimerundika mji mzima unanuka Open Beach na zenyewe zimejaa chupa za plastics % kubwa ya wananchi...
  8. complex31

    JamiiForums Tanzania "Mwana wa Zinaa" Kiislamu HANA URITHI, Wakristo ninyi vipi, mnawapa urithi?

    Sheria za Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania upande wa Mirathi zinamtambua kama mtoto sawa na watoto wengine Akifika Mahakamani atapatiwa Mirathi sawa sawa na hao watoto wengine Bye the Way, Tafuta Chako ukiona unawaza waza mirathi au kugombea mali za mwingine aliechuma umeFAIL katika utafutaji
  9. complex31

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya AFCON kwamba yataleta Neema Tanzania ni Propaganda kubwa sana. Hakuna kitu kama hicho

    Mkuu hivi hizi “tuombe mungu” hua anajibu shida za Watanzania kweli?
  10. complex31

    JamiiForums Tanzania Ziara ya kihistoria ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini urusi 🇷🇺

    Mkuu embu nieleze ziara hiyo ya Russia kuna makubaliano gani wamesign ambayo yataenda kukuza uchumi wa mwanachi mmoja mmoja. Kingine kwa Russia anafaidika na nini kutoka Tanzania Ni hayo tu.
  11. complex31

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Arejea Nchini Kutoka Ziara ya Urusi

    Russia alishikana mikono na kina Putin na wengine, rejea video za huko Slava region
Back
Top Bottom