Recent content by complex31

  1. complex31

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Emergency zipo kuna Njia kama Dar - Arusha dereva ni mmoja siku zote Madereva pia wanashauriwa kucheki afya Blood Pressure Diabetes na Macho kila baada ya Miaka Miwili kuhakikisha wako vizuri wakati wote. Mwanzo ni mgumu lakini kila jambo kuna mahali hua linaanzia
  2. complex31

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Kujenga Njia Nne kwa hapa kwetu bado Lakini kuna njia za kuanzia kupunguza hizi ajali Tunaweza kuanza na Kupunguza uchovu kwa DRIVERS
  3. complex31

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Seating Capacity inatoka kwa Manufacture Seat zikiwa chache Nauli inakua juu mfano 2 X 1 Mbali na hivo bado seat ya Driver No 2 haiekwi
  4. complex31

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Ni Sawa kua wawili ila kwa hapa Driver wa Pili hana “seat ya kukaa” hupokezana na konda na hii humpa uchovu, ikifika muda wake wa kuendesha gari anakua amechoka zaidi ya dereva mwenyewe
  5. complex31

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa LATRA; Safari ndefu zinahitaji kuwa na madereva wawili

    Baada ya kusafiri mara kwa mara kwa safari ndefu ambazo zinahitaji “Two Drivers” huu ni ushauri wangu kwa LATRA kwa njia za Dar - Mwanza Dar - Bukoba Dar - Tunduma Dar - Kigoma Dar - Mpanda Na Route zingine zinazozidi 750km Kanuni za Latra zinataka mmiliki wa Bus awe na dereva wawili kwa njia...
  6. complex31

    JamiiForums Tanzania Jose mla vichwa anawezaje kula nyama za ajabu!?

    Mkuu ukiwa bado unaishi jaribu kutoka nje ya Tanzania na kwenda nchi zingine, mabara mengine Kuna jamii za watu wanakula Scorpion 🦂 Spider 🕷️ Exotic animals huko Asia na kawaida sana kwao Tembelea YouTube ya mtu anaitwa “Best ever review show” utastaajibu aina ya mimea na wanyama wanaoliwa...
  7. complex31

    JamiiForums Tanzania Ramani, makadirio, Elimu na ushauri kuhusu Ujenzi

    Unapofanya wiring weka 1.5mm Taa na Feni 2.5mm Socket TV, Vingamuzi 4mm AC, Pasi Oven na vitu venye Watts 1000 na zaidi 6mm AC BTU 30000, Oven watts 3000 Pia hakikisha kwenye Main Switch MCB zimewekwa wire kutokana na “load” Ampire inayosupply Kwasada sokoni waya ziko nyingi zenye material ya...
  8. complex31

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi hana mamlaka ya kumwamuru IGP

    Gentlemen hii ni “proof beyond reasonable doubt” kwamba PGO haifatwi na Polisi huongozwa kutokana na Hisia za wanasiasa Hivo naweza kusema pasipo na shaka Polisi anaweza kuagizwa chochote na Mwanasiasa na kufuata kwasababu utaratibu wa “Rule of Law” haupo kwao
  9. complex31

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi hana mamlaka ya kumwamuru IGP

    Jeshi la Polisi linaongizwa na PGO au tamko kutoka kwa “Waziri”?
  10. complex31

    JamiiForums Tanzania Anayefikiria kujiunga na Savanna Fibre kuwa makini sana

    Hizi huduma ZA internet majumbani Zuku Savana Na wengine, kuunganishiwa ni bure ila lazima ulipie kifurushi cha mwezi 45,000 - 55,000 ili wa process account siku wakija wakiunga ianze kutumika onSpot. Kwa maelezo yako Savanah hawana huduma ya internet maeneo hayo pengine ungeshare details zaidi...
  11. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ina mpango gani kuondoa foleni ya barabara ya Mandela?

    Public transport ikiboreshwa na kufanya mtu asiwaze kuwasha gari hakika foleni zitaisha Njia pekee ya kutoa hizi foleni ni Maboresho ya usafiri wa Uma Bus ziwe na AC, uhakika wa Seat na kufika kwa wakati, vitu kama wifi kama Bus za mikoani ikiwekwa itapendeza zaidi Tofauti na hapo hata mikoani...
Back
Top Bottom