SOURCE YAKO YA HABARI NI WAPI?
“
Sijasikia kiongozi yeyote kutoka USA akitangzwa kuuliwa toka hii operation kuanza
Upande mwingine kuna habari za Top leadership wa IRAN kuuliwa
Umeandika vyema sana huu upuzi wa kufundishwa ukiwa mtoto hujitambui ndio inaleta shida kwa baadhi ya watu kukubali WALITAPELIWA kufundishwa hizi dini.
Shtuka DINI zimeletwa zikufanye ushindwe kufikiria zaidi ya upeo wako
✅
Confirmed or widely reported family members & positions
1) Janet Museveni
✔️ Minister of Education & Sports — First Lady and wife of President Museveni. This appointment is widely reported.
2) Muhoozi Kainerugaba
✔️ Chief of Uganda’s Defence Forces (CDF) — Son of Museveni and head of the...
Shoppers Supermarket ya MLIMANI CITY hawana “change” ya shilingi MIA au MIA MBILI
Wanakupa Bublish ukale mbele ya safari
Value zao cha “change” ni 500/= 1000/= na kuendelea
Media za Hapa kwetu ziko ICU, zina muda mdogo kuzikwa kabisa
Millennials na Generation ya nyuma yake ndio waliobakia kuTune in hizi TV na Radio za tcra
Wengi wenye smartphone kwa kiasi kukubwa wameacha kama sio kupotezea kabia Local Channels na Locale Radio kwa waishio kwenye Miji Mikubwa
Aliepost hiyo taarifa 17hrs ago ni mKenya na video imerekodiwa barabara ya Nairobi Mombasa refresh your brain, mliozaliwa 90’s kurudi chini ni rahisi kuaminishwa habari za uongo
Uje pia ni barabara gani Tanzania ina mistari ya njano katikati na muepe pembeni,
Jifunze uelimike
Tanzania hatutumik mistari ya njano kutenganisha barabara katikati na mweupe pembeni, hii ni Kenya
Tanzania mistari ya njano inatumika pembeni na nyeupe katikati
Kenya hutumia vice versa
Kupokezana kijiti Roman Catholic na Muslim
Akitoka RC anaingia Muslim ndio iko hivo na sababu itakua ni siri kati ya Nyerere na kina Abdul Sykes pamoja na Abeid Karume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.