Mkuu embu nieleze ziara hiyo ya Russia kuna makubaliano gani wamesign ambayo yataenda kukuza uchumi wa mwanachi mmoja mmoja.
Kingine kwa Russia anafaidika na nini kutoka Tanzania
Ni hayo tu.
Tatizo kuna pesa za Takataka watu huchangishwa kila mwezi, ndio maana huyo mtu anategemea usafi kutoka manispaa.
Dar mitaro ya njia za DMDP karibu yote imejaa tope la uchafu, chupa za plastiv na mitaro inatoa harufu mbaya sana.
Ile ratiba ya usafi kila Jmosi ya mwisho wa mwezi iliishia wapi?
Binadamu tunamahitaji mengi sana kutoka kwenye sumu za nyoka wakali
Sindano za Ganzi
Dawa za shinikizo la damu
Dawa za kuzuia damu isigande
Sio Nyoka tu wanyama wengi hufanya “defense machanism” na hapa ndio huoelekea kudhuru binadamu
Ndio maana baada ya kungata kurusha sumu hukimbia na kwenda...
Saudi Arabia
Qatar
UAE
Indonesia
Tunisia
Egypt
Oman
Pakistan
Hawa wote ni Muslim countries na hawajakemea Trump alichokifanya huko middle east
Elimu, Elimu, Elimu
Sema hivi, kwa Sasa Tanganyika haina uongozi
Nenda Hospital za Serikali
Daladala
Takataka kila kona
Kuna mdau alitoa hoja ya majani kujaa jiji zima
Machinga mpaka kwenye pedestrian walk ways
Elimu imezikwa huko vyuo wanaishia kua content creators na kucheza Porn
Ajali zimekua kawaida
Kujengwa...
Zote ulizotaja zinatumika China Mainland,
Swali langu ni unitajie Bidhaa za China zinazotumika Worldwide kama Pepsi na Cocacola
Na hizo zote ndio nazisikia leo ni kama uende Morocco uwaambie kuna Majani ya “Chai Bora”
Mda wa Chakula,
Ngoja tukale “ugali maharage” tuzidi kudidimiza akili huku
MABEBERU tukiwaomba pesa za maendeleo (MIKOPO) na
WACHINA tukiwalipa kwa pesa hizo wakishajenga barabara (WANAZIDI KUKUZA UCHUMI WAO)
huku mimi muwafrica ukali wa maisha ukizidi kunikamata
Mkuu nimekuelewa vizuri, tatizo la Mzungu na yeye halali
Citizens wao wanazidi kufanya innovation na Invention kila kukicha.
Kwa mchina hua na sema wana high skilled labour
Mzungu ana Professional Workers
Mkuu nipe mbadala wa hivi vitu kutoka China
Visa vs Mastercard
Pepsi VS Cocacola
Hollywood
Abraham Tank
Microsoft
iOS vs Android
.com
Boeing vs Airbus
Pfizer vs Moderna
Johnson n Johnson
Polio Vaccine
Measles, Mumps, and Rubella (MMR) Vaccines
Hepatitis B Vaccine
GPS
Aircraft Carrier...
Mkuu VAT ilishatolewa kitambo kwenye Petrol/ Diesel, receipt ya Fuel Station inasoma 0% VAT
Hizo fee zingine ndio hua sizielewi
Tatizo wamekopa mno na kusema watarudisha kwa kutoza KODI, FEE na LEVY kwa vyanzo hivi hivi vya ndani ndio maana unaona FEE (TOZO) zimekua nyingi MNO
Kubaya ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.