Recent content by complex31

  1. complex31

    JamiiForums Tanzania Dangote atangaza ongozeko la Bei ya Sementi kuanzia 12 Mei 2026 kisa gharama za usafiri, malighafi na uendeshaji

    Tofautisha LPG na LNG, mitungi ya majumbani ni LPG hii ndio imepanda bei na Gas hii inakua imported Upande mwingine LNG ndio inatoka Mtwara na hii ndio inavituo vya kujazia magari maeneo mengi Dar na hutumika pia kwenye baadhi ya viwanda kama Twiga na Azam
  2. complex31

    JamiiForums Tanzania Nchi tatu za Ulaya zinaongozwa na marais mashoga; hatuna cha kushauriwa nao

    Ally Kibao Tundu Lissu Sativa Azory Gwanda Humphrey PolePole Mdude Nyagali Shadrack Chaula
  3. complex31

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba ana Chuki na Rais Samia na Anataka Kumchafua yeye na serikali yake na ndio maana anaongea Vitu bila kuweka Ushahidi wa Aina yoyote ile

    Tilalila na infinix desire hawajakomet hapa? Naona kuna ugeni mpya unaitwa dr wa manesi
  4. complex31

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Waziri wa Elimu Tunji Alausa apiga marufuku waliopata shahada za heshima kutumia title ya "Dr"

    Kuna bwana mmoja kutoka chuo cha UDSM phD holder wakusomea kabisa aliandika jina lake na prefix za Dr kwenye manifest ya ndege, kutoka Switzerland kwenda Spain Safarini kuna abiria alijisikia vibaya hivo air hostess alimfata huyu bwana na kumuambia “Samahani wewe ni Dr. tunaomba msaada kuna...
  5. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Kampuni zinazounga internet ya nyumbani hazisemi ukweli kuhusu kiasi cha ‘data’ anayopata mteja

    Home usage weka fiber, kina ZUKU SAVANNAH SIMBA NET NET SOLUTIONS Unlimited inategemea na speed uliyochagua na si kikomo cha DATA
  6. complex31

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali inasubiri nini kuondoa kodi ama kuweka ruzuku kwenye mafuta ili kupunguza ukali wa maisha?

    Serikali hii haramu ilishafuta VAT kitambo sana na ruzuku ikawekwa, labda ungetaja hizo kodi zingine za kufuta/ kupunguza ni zipi tuanzie hapo
  7. complex31

    JamiiForums Tanzania Kuna ushahidi wowote unaoonyesha uhusika wa Vyombo vya Usalama katika mauaji ya Oktoba 29??

    https://tanzaniamassacre.org/Massacre Kuna Video zinanonyesha wauaji wako na uniform nyeupe kama traffic police, kuna video zinaonyesha wauwaji wako na uniform za Khaki, kuna video zinanonyesha magari ya cruiser yenye nembo ya police Swali kuntu “wakati hawa jamaa wako mtaani wanaua watu...
  8. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya Kuvuka Barabara ya Morogoro Nyakati za Asubuhi na Jioni. Madereva hawaheshimu alama za Pundamilia

    Ni Tanzania tu 6 lanes “Pedestrian crossing” zinakua barabarani Kuzuia ajali na vifo vya waenda kwa miguu Tanroads ijenge pedestrian crossing za juu kama Manzese, Mbezi Magufuli, Buguruni, Morocco na Kimara mwisho Kuvuka 6 lanes kwa miguu sio hatari tu bali inachangia na kuleta foleni
  9. complex31

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kufuta historia mbaya ya mikopo CRB? Nimewaandikia email hawajibu

    Hapana ila ukihitaji mkopo na kama una deni, “UTAWAJUA TU” Madeni ya simu yanatesa sana kulipa BUSTISHA, NIVUSHE, SONGESHA Unakuta unadaiwa 2,350/= hustle ya kuilipa Go n Return unatumia zaidi ya 60,000 mwezi mzima hadi miwili
  10. complex31

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kufuta historia mbaya ya mikopo CRB? Nimewaandikia email hawajibu

    Ingia website ya Credit Report - Creditinfo Tanzania Ingia hapo personal credit report jaza taarifa zako za NIDA Utapokea email yenye taarifa zako za madeni baada ya wiki 2 mpaka 4
  11. complex31

    JamiiForums Tanzania BYD Shark 6: Wabongo hawataki Masihara, Mil 170+ kabla ya TRA sio poa!

    Kikokotoo cha TRA ni kwa gari zilizokwisha kutumika au kua na usajili nje ya Tanzania, Gari ambayo haina usajili kama, Toka kutengenezwa unalipia 18% kutoka kwenye pesa ya manunuzi Railway Levy fee Port Charges na zingine chache nilizosahau
  12. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA, Maji yana viambatanisho gani?

    Ahsante sana, mbadala nimeamua kuweka chlorine mwenyewe pia nina mpango wa kwenda kuulizia filter ni bri gani kwa wataalam wa maji kina Davis & Shirftlife au Merrywater
  13. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA, Maji yana viambatanisho gani?

    Habari, Kwa takribani miezi miwili kwa vipindi tofauti tofauti maji ya DAWASA upande wa Mbezi Beach yamekuwa yakitoka na rangu nyeusi au yawe machafu ambapo ukikinga kwenye ndoo au tank baada ya muda kuna mchanga/ udongo “una-Settle” kwa chini kwa chombo ulichokikingia. Mbali na hayo mimi...
  14. complex31

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Serikali imepata faida gani kufungia mitandao ya kijamii? Anayejua aseme ili tuwapongeze

    Jammi Forum ilifungiwa kwasababu ya kuPost picha ya huyo jamaa akiwa ikulu
  15. complex31

    JamiiForums Tanzania Wazazi tunaochapa watoto under 3 years tukutane hapa

    Hivi kuna watu “wanaDebate na 4yrs old” Anaitwa “mtoto” hajui Reasoning, hajui hasara, hajui consequences za matendo yake Mtoto anahitaji amri, asipoitii ni VIBOKO Kama Baba zako na Mama zako walikuendekeza basi leo ni mojawapo wa kijana wa hovyo mwenye tabia kama 1. Umalaya 2. Pombe kupindukia...
Back
Top Bottom