Recent content by complex31

  1. complex31

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya AFCON kwamba yataleta Neema Tanzania ni Propaganda kubwa sana. Hakuna kitu kama hicho

    Mkuu hivi hizi “tuombe mungu” hua anajibu shida za Watanzania kweli?
  2. complex31

    JamiiForums Tanzania Ziara ya kihistoria ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini urusi 🇷🇺

    Mkuu embu nieleze ziara hiyo ya Russia kuna makubaliano gani wamesign ambayo yataenda kukuza uchumi wa mwanachi mmoja mmoja. Kingine kwa Russia anafaidika na nini kutoka Tanzania Ni hayo tu.
  3. complex31

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Arejea Nchini Kutoka Ziara ya Urusi

    Russia alishikana mikono na kina Putin na wengine, rejea video za huko Slava region
  4. complex31

    JamiiForums Tanzania Wanazi wa Mabasi: Huu Ndiyo Uwekezaji Sasa!

    Kilimanjaro Express Shabiby Abood Bus Service Golden Deer/ New Force Isamilo/ Zuberi Kidia One BM Coach Tashrif Tahmeed
  5. complex31

    JamiiForums Tanzania KERO Mitaro ya maji Kawe Ukwamani (Dar) imeziba kwa uchafu unaotoa harufu mbaya, Maafisa Mazingira Kinondoni wako wapi?

    Tatizo kuna pesa za Takataka watu huchangishwa kila mwezi, ndio maana huyo mtu anategemea usafi kutoka manispaa. Dar mitaro ya njia za DMDP karibu yote imejaa tope la uchafu, chupa za plastiv na mitaro inatoa harufu mbaya sana. Ile ratiba ya usafi kila Jmosi ya mwisho wa mwezi iliishia wapi?
  6. complex31

    JamiiForums Tanzania Sumu ya Nyoka: Si Kuumiza, Bali kuishi!

    Binadamu tunamahitaji mengi sana kutoka kwenye sumu za nyoka wakali Sindano za Ganzi Dawa za shinikizo la damu Dawa za kuzuia damu isigande Sio Nyoka tu wanyama wengi hufanya “defense machanism” na hapa ndio huoelekea kudhuru binadamu Ndio maana baada ya kungata kurusha sumu hukimbia na kwenda...
  7. complex31

    JamiiForums Tanzania Vita vya Marekani Mashariki ya Kati vinaweza kuchochea ugaidi dhidi ya raia wa Marekani Ulimwenguni

    Saudi Arabia Qatar UAE Indonesia Tunisia Egypt Oman Pakistan Hawa wote ni Muslim countries na hawajakemea Trump alichokifanya huko middle east Elimu, Elimu, Elimu
  8. complex31

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Sema hivi, kwa Sasa Tanganyika haina uongozi Nenda Hospital za Serikali Daladala Takataka kila kona Kuna mdau alitoa hoja ya majani kujaa jiji zima Machinga mpaka kwenye pedestrian walk ways Elimu imezikwa huko vyuo wanaishia kua content creators na kucheza Porn Ajali zimekua kawaida Kujengwa...
  9. complex31

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Zote ulizotaja zinatumika China Mainland, Swali langu ni unitajie Bidhaa za China zinazotumika Worldwide kama Pepsi na Cocacola Na hizo zote ndio nazisikia leo ni kama uende Morocco uwaambie kuna Majani ya “Chai Bora”
  10. complex31

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Mda wa Chakula, Ngoja tukale “ugali maharage” tuzidi kudidimiza akili huku MABEBERU tukiwaomba pesa za maendeleo (MIKOPO) na WACHINA tukiwalipa kwa pesa hizo wakishajenga barabara (WANAZIDI KUKUZA UCHUMI WAO) huku mimi muwafrica ukali wa maisha ukizidi kunikamata
  11. complex31

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Mkuu nimekuelewa vizuri, tatizo la Mzungu na yeye halali Citizens wao wanazidi kufanya innovation na Invention kila kukicha. Kwa mchina hua na sema wana high skilled labour Mzungu ana Professional Workers
  12. complex31

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Mkuu nipe mbadala wa hivi vitu kutoka China Visa vs Mastercard Pepsi VS Cocacola Hollywood Abraham Tank Microsoft iOS vs Android .com Boeing vs Airbus Pfizer vs Moderna Johnson n Johnson Polio Vaccine Measles, Mumps, and Rubella (MMR) Vaccines Hepatitis B Vaccine GPS Aircraft Carrier...
  13. complex31

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Mkuu VAT ilishatolewa kitambo kwenye Petrol/ Diesel, receipt ya Fuel Station inasoma 0% VAT Hizo fee zingine ndio hua sizielewi Tatizo wamekopa mno na kusema watarudisha kwa kutoza KODI, FEE na LEVY kwa vyanzo hivi hivi vya ndani ndio maana unaona FEE (TOZO) zimekua nyingi MNO Kubaya ni kwamba...
  14. complex31

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    Ukipiga lamination hiyo QR haisomi na ukibandua lamination ndio unaharibu kabisa
Back
Top Bottom