1. Utangulizi Tanzania, nchi yenye utajiri wa maliasili na urithi wa kitamaduni, ina nafasi kubwa ya kujiimarisha kiuchumi na kijamii katika miaka ijayo. Andiko hili linatoa mawazo bunifu juu ya jinsi Tanzania inavyoweza kufikia maendeleo endelevu kwa kuzingatia vipaumbele vya kiuchumi, elimu...
Hello Jf Doctor,
Kuna jambo linanipa utata wa majibu kila napolifikiria.
Kwanza kabisa pongezi kubwa ziwafikie wahusika wakuu na waanzilishi wa Project ya Mwendokasi Dar (UDART)
Ila tukiangalia uwiano wa mabasi na watu n wazi kwamba mambo hayajakaa sawa maana watu hujazana kiasi kwamba hewa...
Habari za mda huu wana JF,
Yeyote mwenye kufanya biashara ya nguo hususan suti please anipe muongozo km naweza kupata suti yenye :-
1 Single button
2 Blue Coat
3 Black trouser
Kiukweli hili suala si dogo km raia tunavyoliona
Tunaamin sheria itajitahid kufikiria mambo km hayo na kutoa hukum kwa haki maana wengi wetu hatukuqahi kujiuliza maswali km hayo kabla ya kuhukum
Duuhhh eehhh bwana eehh
Sasa hyo ndo mitihan ya maisha kjana achilia mbali ile ya kwenye karatasi darasan
Cha msingi n kusubiri mtoto akue utamlea yeye km yeye na wala sio kulea team usiyoifaham ndgu yangu
Daahh ukahaba upo na mwendo saana kwa Taifa lakn sababu bado haijajulikana
HUENDA :-
1 Ugumu wa maisha
2 Raia wamekua wavivu ktk utaftaji
3 Michongo na deals zao zimegoma
4 Ulemavu wa akili(block minded)
5 Kutegemea vya wazaz na sasa havipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.