Watoto wana changamoto gani? Kama unahiataji mtoto wa nje zaa tu mkuu..lakin kuzaa kwa sabab uliyoieleza ni sawa na kuwa reject watoto isitoshe malezi pia yana mchango katika hilo unaloona tatizo. Sasa mwenye watoto wenye changamoto ya kimaumbile/disabled/mtindio watafanyaje????
Kama mlikua na situation ya kutoeleweka kama hii uloandika hapa..hizo picha zitakusaidia kufunga ukurasa rasmi na kumove on kiroho safi.
Nb: Kuumia hakukwepeki..utaumia sana sana kama ulimpenda kwa dhati lakn at least hutaidanganya nafsi kwamba bado una nafasi kwake.
Na hali hiyo ikiisha mtoa mada atarudi kuuliza "ivi hii imekaaje naenda kazin kuanzia asubuh hadi siku inaisha wife hapigi simu hata sms kunijulia hali?"
Katika enzi hizi za mavyeti kibao ya elimu ni kipengele kidogo..itabid amendment ifanyike kote kwa viapo. Back then kina mama wengi walikua wamama wa nyumbani nadhani...(elimu kwa mtoto wa kike haikua kipaumbele).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.