Kuna hoja mezani juu ya udhaifu wa JK, imetokea Bungeni. Yumkini, kama mwanadamu, JK ana mapungufu na udhaifu wake, nani asiye na mapungufu na udhaifu? Lakini, tukimzungumzia JK kama taasisi ya ' Urais', namwona Rais anayejipambanua na waliomtangulia. Ni kwa kujitahidi kufanya yale yalo nafuu...