Acha dharau Gan boot zinavaliwa kwakuwa mazingira ya kule misitu mingi kuna maji sana.sikatai na unaweza kuvaa Gan boot hata wiki hujaivua usiku na mchana
Hivi MTU akifariki anajijua kama amefariki?je nafsi yake huendelea kuona yatendekayo duniani?wafu waweza kujitokeza angalau kuwasiliana nasi?msinishangae kuna mambo yalinitokea yananitatiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.