Katika jicho pevu naona historia yataka kubadilia katika historia ya siasa ukanda wa Africa mashariki,baada ya kiongozi na NASA mh Raila Amol Odinga kusisitiza kua ataapishwa kama raisi wa Taifa LA Kenya ukiisoma katiba ya Kenya haina kipengele hicho moja ya masharti lazima awe ameshinda kwa zaidi ya 25% katika kaunti zote 24 na awe ameshiriki uchaguzi sasa maswali yanatatiza kichwa na huenda kukawa na tatizo Mungu awaepushe.
Kisheria ni uhaini ila katika sheria LA Kenya kosa hilo lishaondolewa mpaka mahakama ya umoja wa mataifa hivyo kisheria hakuna kosa.
Kingine ni kua kisiasa itamjenga tena mh Odinga au kumbomoa tayari mh Uhuru ashatangaza baraza lake LA mawaziri nini kina kwenda kutokea Kenya na nini hatma yake.
Kisheria ni uhaini ila katika sheria LA Kenya kosa hilo lishaondolewa mpaka mahakama ya umoja wa mataifa hivyo kisheria hakuna kosa.
Kingine ni kua kisiasa itamjenga tena mh Odinga au kumbomoa tayari mh Uhuru ashatangaza baraza lake LA mawaziri nini kina kwenda kutokea Kenya na nini hatma yake.