Nawezaje kuongeza urefu wa kimo?

Nawezaje kuongeza urefu wa kimo?

Kuna zile dawa za kurefusha kiba100 huwa wanachua kibamia then kinarefuka after 7days hivyo nakushauri uchukue zile ujichue mwili mzima utarefuka kwa kiasi unachotaka
Ahaha...
 
Jamani mm nina matege(ya miguu kuingia ndani) yanakikosesha amani kwa kweli, japo hayanikoseshi chochote ila naombeni ushauri angalau jinsi gani niyapunguze maana hua najishtukia sana! Natanguliza shukrani.
 
Bahati mbaya hujaeleza umri wako.Kuongeza urefu hata kwa centimetre moja tu inawezekana pale ujazo wa mifupa yako (bone density) inapoongezeka. Kitu cha kuongeza ujazo(density) ni madini ya calcium. Kula vyakula vyenye madini ya calcium kwa wingi kv dagaa, maziwa,nk.
Unasahau kuna Genetic issue chief
 
Altenative way hapo ni Laizoni au High heels tu ndo ziwe moja kati ya outfit zako kila siku.
 
Wakuu habari zenu,

Natumai mko powa sana na harakati za maisha ya hapa na pale kukimbizana huku na kule pia kinyonge sana na kwa masikitiko tunaendelea kulia juu ya msiba wa kijana mwenzetu.

Ok niende moja kwa moja kwenye mada, kuongeza height(urefu) binadamu wa kawaida mwanaume una urefu 156cm ambayo ni sawa na 5foot hiyo ni wastani akiwa chini ya hapo ni mfupi mwanamke 150cm sawa na 4.9foot.

Binafsi nina 154cm nawezaje ongeza height yangu nifike average?

Natanguliza shukrani.
Simpo hii,
Tafuta gari mbili,
Ya kwanza ifunge mnyororo kutoka kwenye gari hadi mikononi na ya pili ifunge mnyororo kutoka kwenye gari hadi miguuni.
Kisha hizi Gari kila moja ielekee kwa upande wake opposite na mwengine wakati we ukiwa katikati yao,
Ziende taratibu tu mpaka utakapoona umerefuka vya kutosha
 
Jamani mm nina matege(ya miguu kuingia ndani) yanakikosesha amani kwa kweli, japo hayanikoseshi chochote ila naombeni ushauri angalau jinsi gani niyapunguze maana hua najishtukia sana! Natanguliza shukrani.
Anzisha uzi wa kwako acha kutuchanganya.
Jamani mm nina matege(ya miguu kuingia ndani) yanakikosesha amani kwa kweli, japo hayanikoseshi chochote ila naombeni ushauri angalau jinsi gani niyapunguze maana hua najishtukia sana! Natanguliza shukrani.
 
Wakuu habari zenu,

Natumai mko powa sana na harakati za maisha ya hapa na pale kukimbizana huku na kule pia kinyonge sana na kwa masikitiko tunaendelea kulia juu ya msiba wa kijana mwenzetu.

Ok niende moja kwa moja kwenye mada, kuongeza height(urefu) binadamu wa kawaida mwanaume una urefu 156cm ambayo ni sawa na 5foot hiyo ni wastani akiwa chini ya hapo ni mfupi mwanamke 150cm sawa na 4.9foot.

Binafsi nina 154cm nawezaje ongeza height yangu nifike average?

Natanguliza shukrani.
Kama una miaka chini ya 20 kunywa maziwa fresh kila siku at least kikombe kimoja.
 
Mi nimekuja mbio nilifikiri kuna dawa za kuongeza mkuyenge kumbe kuongeza urefu. Fanya hivi tafuta watu wawili, mmoja akufunge kamba ya miguuni na mwingine akufunge kamba shingoni then wavutiane, usiporefuka hapo ndio basi tena.


Weka bidii zako kwenye mazoezi, urefu utakuja naturally
 
Mi nimekuja mbio nilifikiri kuna dawa za kuongeza mkuyenge kumbe kuongeza urefu. Fanya hivi tafuta watu wawili, mmoja akufunge kamba ya miguuni na mwingine akufunge kamba shingoni then wavutiane, usiporefuka hapo ndio basi tena.


Weka bidii zako kwenye mazoezi, urefu utakuja naturally
Mkuu kwani huo ulio nao hawaufurahii?
 
Back
Top Bottom