wana chadema wote tuungane na viongozi wetu ili tulete mageuzi katika nchi yetu ambayo mafisadi wanaendelea ukuitafuna keki yote ya taifa. sasa sisi walalahoi tunaendelea kuteseka tu. jamani haya mafisadi hawana hata huruma.
mageuzi ni lazima. mabomu tutapigwa na damu ya makamanda waliokufa itasitawisha na kuzaa matunda ya ukombozi kwa vijana wapya. tusikate tamaa wanachadema tuwaunge mkono viongozi wetu ili tukombolewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.