Mmh! Umesema serikali hii imeshindwa kutekeleza BAADHI ya ahadi zake. Umetumia neno BAADHI maana yake ni kwamba zipo ahadi zingine tayari ZIMETEKELEZWA.
Na yapo mengine hayakua kwenye ahadi lakini yametekelezwa.
Sasa apo shida iko wapi Wakati muda bado upo.
Acheni siasa za upotoshaji
Sent...
Watu wana chuki hali hii awa jamaa wanachuo kimoja tu tunaanza kuwavizia. Binafsi nimewafatilia sana ila kiukweli wapo vizuri. Matatizo madogo madogo hayakosi ila kwa kusimamia Taaluma wapo vizuri
Natarajia kutoka Rasmi Jamii Forum, JF inanuka, watu hawachangii juu ya ukweli wa mambo jinsi ulivyo. Tofauti na kipindi cha Nyuma.
Kumbukeni Mungu anawaona kwa kila NYEUSI kutaka kuibadilisha kuwa NYEUPE. Kutaka kubadilisha usiku kuwa mchana. Wanachangia kwa kufuata ushabiki.
.
Najifunza...
Mungu yupo, ila si wote wanaingia nyumba za ibada. Dini yako ni mzuri kwako ila ni kero kwa mwingine. KAMA MNATAKA KUHUBIRI ITIFAKI IZINGATIWE, VIONGOZI WA DINI ZINGINE PIA WAALIKWE KUFANYA IVYO.
IZO GARI NI ZA PUBLIC SIO ZA DHEHEBU FULANI LA DINI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.