Nini faida na hasara za utawala wa lucifer kwa dunia yetu ya leo

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,895
25,944
Wakuu wa jukwaa hili bwana awe nanyi ,yesu ni mwema sana ndugu zangu na hakika aliyashinda mauti

Mimi swali langu ni moja kwenu nataka kujua kwanini shetani ana mupango wa kuitawala dunia hii na jeuri hiyo kaitoa wapi

na kuna hasara gani na faida gan tutayo pata sisi wanadamu endapo mupango wake wa kuitawala dunia utakapo kamilika

Maana naona anakuja kwa kasi sana nasikia ana mpango wa kusimika dini moja na ana wafuasi wanaoeneza propaganda za kwamba kuna mungu mmoja wakati si kweli

Wafuasi wake wanaenda mbali zaidi na kulazimisha yesu kristo ndo sijui nan yule wana muitaga wenyewe.


Je faida gan na hasara tutapata wapendwa naomba tuwe pamoja muweze kunifahamisha maana mimi niko empty juu ya hilo
 
Wakuu wa jukwaa hili bwana awe nanyi ,yesu ni mwema sana ndugu zangu na hakika aliyashinda mauti

Mimi swali langu ni moja kwenu nataka kujua kwanini shetani ana mupango wa kuitawala dunia hii na jeuri hiyo kaitoa wapi

na kuna hasara gani na faida gan tutayo pata sisi wanadamu endapo mupango wake wa kuitawala dunia utakapo kamilika

Maana naona anakuja kwa kasi sana nasikia ana mpango wa kusimika dini moja na ana wafuasi wanaoeneza propaganda za kwamba kuna mungu mmoja wakati si kweli

Wafuasi wake wanaenda mbali zaidi na kulazimisha yesu kristo ndo sijui nan yule wana muitaga wenyewe.


Je faida gan na hasara tutapata wapendwa naomba tuwe pamoja muweze kunifahamisha maana mimi niko empty juu ya hilo
.
Kwani huyu lucifer kashinda uchaguzi nchi gani?
 
Wakuu wa jukwaa hili bwana awe nanyi ,yesu ni mwema sana ndugu zangu na hakika aliyashinda mauti

Mimi swali langu ni moja kwenu nataka kujua kwanini shetani ana mupango wa kuitawala dunia hii na jeuri hiyo kaitoa wapi

na kuna hasara gani na faida gan tutayo pata sisi wanadamu endapo mupango wake wa kuitawala dunia utakapo kamilika

Maana naona anakuja kwa kasi sana nasikia ana mpango wa kusimika dini moja na ana wafuasi wanaoeneza propaganda za kwamba kuna mungu mmoja wakati si kweli

Wafuasi wake wanaenda mbali zaidi na kulazimisha yesu kristo ndo sijui nan yule wana muitaga wenyewe.


Je faida gan na hasara tutapata wapendwa naomba tuwe pamoja muweze kunifahamisha maana mimi niko empty juu ya hilo
Hasara ni kama hizi tunazo ziona katika taifa letu.Wenye akili wamesha ziona! Tuombe Mungu aingilie kati.
 
Lengo kuu la shetani ni kutafuta wafuasi wa kwenda naye matesoni jehanum, Mungu ameshaidhinisha mateso dhidi ya lucifer kutokana na uasi wake kwa Mungu, harakati zote za kuitawala dunia ni namna kuu aifanyayo shetani ili kupata wafuasi wa kuangamizwa naye siku ya kiama na mwisho wa rehma ufikapo, shetani anatumia njia nyingi za ulaghai kwa wanaadam ili kuwafanya wamsujudu yeye na kuwa upande wake anatumia njia kama:-

1.kutoa utajiri na ukwasi kwa wafuasi wake ili kuwavutia wengine wamfuate shetani
shetani ana miliki vingi vilivyo na mvuto wa kutamaniwa ( rejea shetani alipomjaribu YESU, alimuonyesha milki na tawala zote anazomiliki na kumuahidi kumpatia iwapo angemsujudu)

2.kutumia nguvu za majeshi ya wafuasi wake,
hapa shetani amejipenyeza kwenye mamlaka kuu za kiserikali na dola, anaamru idara za kijeshi za mataifa ya wafuasi wake kushambulia na kuangusha dola nyingine ili kusimika misingi ya utawala wake, hapa utaona jinsi mataifa ya kimagharibi yalivyoungana na kutengeneza umoja wao wa kujihami NATO ambao kimsingi hupigania manufaa ya shetani, mfano kuangusha dola zote za kiarabu na kusimika utawala wa kishetani ni mpango endelevu unaolenga kutwaa mamlaka na kumpa shetani.

3. kupitia jumuiya na matangamano ya kimataifa.
shetani ameandaa misingi iliyo chini jumuiya za kimataifa inayolenga kulinda na kuendeleza matakwa yake, UN ndio chombo kikuu kinacho/kilichobeba dhamira za kishetani ( kwa undani wake) ifahamike kuwa shetani hufanya kazi zake kupitia jamii za siri (secret societies) ambazo maudhui na mienendo yake huratibiwa kwenye mashirika mbalimbali ya umoja wa mataifa, mfano shirika la haki za binadam linatetea haki za binadam lakini pia linatetea haki hizo kwa mlengo ya uhuru wa kishetani, mfano haki za mashoga, haki za ndoa za jinsia moja na haki za biashara ya ngono, hivi vyote ni harakati za shetani kusimika nguvu yake na dhambi duniani.
4. kupitia jamii za siri (secret societies)
hizi ndizo jamii zenye machimbuko na misingi ya kishetani tangu zamani za kale, jamii hizi hufanya kazi zake kama mashirika au taasisi za kidini, jamii hizi zina nguvu na ushawishi mkubwa kwa watawala na serikali nyingi duniani, jamii hizi ziko katika makundi makuu matatu:-
i. FREEMASONS, ni jamii inayoamini katika uhuru wa matendo na fikra katika ujenzi wa dunia hii bila kufungwa na sheria yoyote au amri za Mungu, ni tawi la jamii za siri linaloamini katika uhuru na haki ( in favor of satan/lucifer)

ii. Illuminant
ni jamii inayomtukuza shetani/lucifer kama ndio nuru ya dunia ( the prince of light) inayoangaza pande zote za dunia na kutawala.

iii. skull and bones
ni jamii ya siri inayotekeleza mauaji ( assassinations ) kwa watu au jamii inayopingana na matakwa ya shetani, hii imejikita sana huko MAREKANI mfano mauaji ya SADDAM HUSSEIN, MUAMMAR GHADDAF, n.k jamii hii hutumia nguvu za kijeshi na dola.

HAKUNA FAIDA YOYOTE ITAKAYOPATIKANA CHINI YA UTAWALA WA SHETANI, KWA MAANA LENGO LAKE NI KUIANGUSHA DUNIA NA WAKAAMO KATIKA MAASI DHIDI YA MUNGU,
VITA, MAGONJWA, MAUAJI NJAA NA MAASI NI MATOKEO YA MACHUKIZO YA UTAWALA WA SHETANI/ LUCIFER.
MUNGU WETU AWE NASI.
 
Wakuu wa jukwaa hili bwana awe nanyi ,yesu ni mwema sana ndugu zangu na hakika aliyashinda mauti

Mimi swali langu ni moja kwenu nataka kujua kwanini shetani ana mupango wa kuitawala dunia hii na jeuri hiyo kaitoa wapi

na kuna hasara gani na faida gan tutayo pata sisi wanadamu endapo mupango wake wa kuitawala dunia utakapo kamilika

Maana naona anakuja kwa kasi sana nasikia ana mpango wa kusimika dini moja na ana wafuasi wanaoeneza propaganda za kwamba kuna mungu mmoja wakati si kweli

Wafuasi wake wanaenda mbali zaidi na kulazimisha yesu kristo ndo sijui nan yule wana muitaga wenyewe.


Je faida gan na hasara tutapata wapendwa naomba tuwe pamoja muweze kunifahamisha maana mimi niko empty juu ya hilo
Pumba kama hizi mtu una put aside hii post racial based
 
Back
Top Bottom