COMFORT JAFFER
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 214
- 94
ndumu
GOMBA![]()
Sisi tunaita nyasore
Mbona ni ya kijani sana?......Bila shaka haikukaushwa vizuri.
Nisiijue tena?.......Sidhani kama kuna uhusiano kati ya ukijani wake na ubora.........Kuna kitu unakikuta kikiwa na rangi ya kahawia lakini kimetulia balaa.Mkuu;
Waijua vizuri au?? Hapo kitu ilikaushiwa kwenye kivuli kuubakiza ule u green wake ambao ndio ongezeko la ubora wa hiyo bidhaa adimu. Mwaka huu Hon Msukuma tunaomba awasilishe hoja binafsi kuwa ilimwe kiutaalam iuzwe ng'ambo kuingiza forex baada ya utalii kupungua
Hata me navuta kupunguza maumivu si unajua tena kazi zetu ngumuBinafsi sijawahi kuvuta,ila comment nyingi humu zinaonyesha watu wengi,wasomi na wasio wasomi,maskini kwa matajiri wanavuta bangi.Ona wanavyoisifu.
Mneli
Dawa
Kijiti
NGADA
Ndumu
kaya
Jani
Mmea
msuba
Haya majina ndio yenyeweeeee....Ganja
mkuu hapo kwa sadali nini?