Hayo ni mawazo yako wala sio mawazo ya warusi, wachina na wala Korea ya kaskazini. We unafikiri kupigana na marekani ni sawa na kupigana kwa ccm na chadema.
Huyu kamanda nimemkumbuka wakati wanatafuta mwili wa Ibrahim Rais aliyedondoka na helkopita kwenye milima ya Azbeijan. Alikuwa anatoka jasho kwenye milima haha haha ataliwa nae kichwa mda sio mrefu
Inamaanisha kwa siku anatumia Tshs 5,000/-
Ambayo chakula kwa Mama ntilie ni Tshs 1,500 @2 Jumla ni Tshs 3,000 na chai ni Tshs 800. Bado vocha na Nauli.
Tafuta pesa ndugu
Wanapewa kiwango cha noti cha kutengeneza na wanapewa Kodi namba pia. Kwa iyo mzigo ukifika ambao hauna kodi namba. Unamfata alipewa tenda kuhusu serial namba ya pesa ambayo haipo ktk record ndio apo mnapoanza kubanana umetengeneza yenye serial namba zaidi apo zikifika zinaingiza ktk mashine na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.