Recent content by Come27

  1. Come27

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Kinachofanyika ili mradi kaolewa katoa mkosi nyumbani. Sema mkosi anaenda kuupeleka kwa mums uko akaangaike nao mkosi
  2. Come27

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale iPhone 13 Plain 128 GB💰 BEI: TSH 830,000

    Duh? Mwamba mdadisi sana asee
  3. Come27

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Tunaenda kununua Whisky na tunawapelekea dawa ya Mukongo. Tanzania hatari sanaaaaa
  4. Come27

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Kweli kabisa
  5. Come27

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Ivi Russia 🇷🇺 wanazalisha Simu ya Novichok ( Chatgpt) itanisaidia kujua labda. Kamaaaaa............
  6. Come27

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Iran imekiri kuumizwa na Blockade ya Marekani huko Hormuz

    Si walisema wameahinda vita Iran, ngoja waone USA anavyotisha kiuchumi, anakukaba kwenye kooo kama Simba na akuachiii mpaka unapoteza maisha yaani
  7. Come27

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 Almaarufu kama Gen Z uwezo wenu wa Akili ni mdogo kuliko vizazi vingine

    Gazeti Mwananchi na Gazeti la the Citizen yanamilikiwa na Rostam. Kwa iyo waliosomea Urusi washaelewa tayari
  8. Come27

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Kinachonifurahisha kwa upande wa Chatgpt wana offline readings 📚 . Yaani ukiwa hauna data zile ukizotafuta unaweza ukaendeleea kusoma ukiwa offline tofauti na AI zote na ya kichina inajaribu inasevu baadhi, nyingine haisevu
  9. Come27

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Jaribu kuongeza na DeepSeek ya kichina na Copilot ya Microsoft ufanye research na kuna AI ya Perplexity na yenyewe wana majibu mazuri pia
  10. Come27

    JamiiForums Tanzania Je Azim Dewji amerukwa na akili?

    Ndio ivyo mkuuu
  11. Come27

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Ile ilikuwa mistake sana, kwenda Urusi. Wazungu watatutenga tuanze angaika na dunia
  12. Come27

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Media za Bongo zinatoa sana airtime kwa mambo yasiyo na tija kwa jamii kuliko yale ya msingi? Nimeamini kupitia sakata la Doto Magari

    Media za kijinga sana, asubuhi vituo vyote radio na TV vinazungumzia Michezo tuuuu, utafikiri kimataifa kwenyewe tunafanya vizuri kumbe zero zero zero. Kama ukiiona mitahira ikiwa inabishana Simba na Yanga. Mpaka unasema walioanzisha Simba na Yanga ndio waliroga hiii nchi kuwa ya wapumbavu
  13. Come27

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Mbona inajulikana ni mpango kazi wa kuwasahulisha matukio yaliyotokea 29.10.2025
  14. Come27

    JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mke wangu aipende na kuifurahia harufu ya sigara isimkere, Ndoa bado Changa

    Ukikua au ukiishi na kusafiri unaweza ukajiona wewe na Ney wa Mitego ndio matahira. Kila kitu kina madhara inategemea na afya unaifanyia checkup kiasi gani. Soda na Energy zina madhara sawa na sigara. Sasa kama ufikirie Sigara peke yako
Back
Top Bottom