Kinachonifurahisha kwa upande wa Chatgpt wana offline readings 📚 . Yaani ukiwa hauna data zile ukizotafuta unaweza ukaendeleea kusoma ukiwa offline tofauti na AI zote na ya kichina inajaribu inasevu baadhi, nyingine haisevu
Media za kijinga sana, asubuhi vituo vyote radio na TV vinazungumzia Michezo tuuuu, utafikiri kimataifa kwenyewe tunafanya vizuri kumbe zero zero zero. Kama ukiiona mitahira ikiwa inabishana Simba na Yanga. Mpaka unasema walioanzisha Simba na Yanga ndio waliroga hiii nchi kuwa ya wapumbavu
Ukikua au ukiishi na kusafiri unaweza ukajiona wewe na Ney wa Mitego ndio matahira. Kila kitu kina madhara inategemea na afya unaifanyia checkup kiasi gani. Soda na Energy zina madhara sawa na sigara. Sasa kama ufikirie Sigara peke yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.