Recent content by Come27

  1. Come27

    Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    Kwa upumbavu huuu, ndio unaowafanya wapalestina wajute na kukimbia kimbia wakiomba chakula
  2. Come27

    China imeshasema haitakubali Urusi ishindwe na Ukraine kwa msaada wa NATO

    Vikosi vip? Vipelekwe uko ndugu kwa msaada wa Android au IOS. Utumie izo program alafu uwe na akili ya kushindana na USA
  3. Come27

    Kulingana na duru za Kijasusi za Israel, Iran Hawakuhamisha Uranium Iliyorutubishwa kwenye vinu vyake wakati wa mashambulizi ya Marekani

    Kwanza, kwenye iyo plant ya nyuklia unaamisha mitambo kama unaamisha nguo kuzitoa kwenye gordown. Vile vitu vilisagwa mule mule na USA
  4. Come27

    Putin amuonesha Trump who is the boss ?

    Masikini wameungana tuuu
  5. Come27

    Marekani na Marafiki zake wameishaingia kwenye Mtego wa Iran. Hakuna rangi wataacha kuona

    Hayo ni mawazo yako wala sio mawazo ya warusi, wachina na wala Korea ya kaskazini. We unafikiri kupigana na marekani ni sawa na kupigana kwa ccm na chadema.
  6. Come27

    Iran yapiga marufuku ya nchi nzima kwa wananchi kutembea na mbwa

    Itabidi tuwe tunatembea na nguruwe tumefunga kamba kwenye mguuu
  7. Come27

    Kamanda wa Iran ashukuru kwa kupata taarifa za kijasusi kutoka Israel!!

    Huyu kamanda nimemkumbuka wakati wanatafuta mwili wa Ibrahim Rais aliyedondoka na helkopita kwenye milima ya Azbeijan. Alikuwa anatoka jasho kwenye milima haha haha ataliwa nae kichwa mda sio mrefu
  8. Come27

    Je, pesa uliyonayo itamudu gharama za maisha yako kwa miaka mingapi bila kufanya kazi?

    Inamaanisha kwa siku anatumia Tshs 5,000/- Ambayo chakula kwa Mama ntilie ni Tshs 1,500 @2 Jumla ni Tshs 3,000 na chai ni Tshs 800. Bado vocha na Nauli. Tafuta pesa ndugu
  9. Come27

    Unajua pesa ya Tanzania inatengenezwa wapi?

    Wanapewa kiwango cha noti cha kutengeneza na wanapewa Kodi namba pia. Kwa iyo mzigo ukifika ambao hauna kodi namba. Unamfata alipewa tenda kuhusu serial namba ya pesa ambayo haipo ktk record ndio apo mnapoanza kubanana umetengeneza yenye serial namba zaidi apo zikifika zinaingiza ktk mashine na...
  10. Come27

    Cuba kuna uhaba wa chakula, mgao wa umeme na maji.

    Warusi wa Kipalang'anda na kisewe wanakusikia. Na warusi waliopo Tinde wanakusubiri
  11. Come27

    Wachina wamejipiga pini kwenye vita ya ushuru, Soko kubwa dunia nzima lipo Marekani

    Sasa ivi ishu nyingi zinafanyika kwa kutumia technology hasa AI na Robots kwa iyo tegemea kupata bidhaaa kwa bei nafuuu kama China pia anavyofanya
Back
Top Bottom