Media za kijinga sana, asubuhi vituo vyote radio na TV vinazungumzia Michezo tuuuu, utafikiri kimataifa kwenyewe tunafanya vizuri kumbe zero zero zero. Kama ukiiona mitahira ikiwa inabishana Simba na Yanga. Mpaka unasema walioanzisha Simba na Yanga ndio waliroga hiii nchi kuwa ya wapumbavu
Ukikua au ukiishi na kusafiri unaweza ukajiona wewe na Ney wa Mitego ndio matahira. Kila kitu kina madhara inategemea na afya unaifanyia checkup kiasi gani. Soda na Energy zina madhara sawa na sigara. Sasa kama ufikirie Sigara peke yako
Wanawategemea waarabu Mavi kwenye nini? Yaani mwarabu hana chochote anapuyanga tuuuu, apa tanzania hata bihashara zenyewe zimemshinda kariakoo wamebaki kufuga majini tuuu
Hatari sana sio mchezo, ukitaka uwaoneee huruma watoto wa kike soma chuo ukiwa na miaka kuanzia 35 na kuendelea utawaonea huruma watoto wa kike wanavyoangaika kutafuta pesa na vitu vya kuficha aibu asionekane ametoka maisha magumu. Mwanamke anaziburiwa mbele nyuma na watu wenye pesa ili mradi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.