Recent content by Come27

  1. Come27

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Ile ilikuwa mistake sana, kwenda Urusi. Wazungu watatutenga tuanze angaika na dunia
  2. Come27

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Media za Bongo zinatoa sana airtime kwa mambo yasiyo na tija kwa jamii kuliko yale ya msingi? Nimeamini kupitia sakata la Doto Magari

    Media za kijinga sana, asubuhi vituo vyote radio na TV vinazungumzia Michezo tuuuu, utafikiri kimataifa kwenyewe tunafanya vizuri kumbe zero zero zero. Kama ukiiona mitahira ikiwa inabishana Simba na Yanga. Mpaka unasema walioanzisha Simba na Yanga ndio waliroga hiii nchi kuwa ya wapumbavu
  3. Come27

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Mbona inajulikana ni mpango kazi wa kuwasahulisha matukio yaliyotokea 29.10.2025
  4. Come27

    JamiiForums Tanzania Nimfanyeje mke wangu aipende na kuifurahia harufu ya sigara isimkere, Ndoa bado Changa

    Ukikua au ukiishi na kusafiri unaweza ukajiona wewe na Ney wa Mitego ndio matahira. Kila kitu kina madhara inategemea na afya unaifanyia checkup kiasi gani. Soda na Energy zina madhara sawa na sigara. Sasa kama ufikirie Sigara peke yako
  5. Come27

    JamiiForums Tanzania Mwana FA angeendelea fujo ingetokea ni bora alisitisha, tujitafakari sana

    Ongezea nyama hatujaelewa mzee wa Cuba
  6. Come27

    JamiiForums Tanzania DJ SMA mchambuzi uchwara na chawa anafadhiliwa na nani ?

    Wanawategemea waarabu Mavi kwenye nini? Yaani mwarabu hana chochote anapuyanga tuuuu, apa tanzania hata bihashara zenyewe zimemshinda kariakoo wamebaki kufuga majini tuuu
  7. Come27

    JamiiForums Tanzania KERO Nyaya za fiber zimekuwa kero

    Labda hakai Dar es salaam pia
  8. Come27

    JamiiForums Tanzania Mzazi unamlipia Binti yako ada ya chuo unadhani anasoma kumbe anafanya umalaya.

    Hatari sana sio mchezo, ukitaka uwaoneee huruma watoto wa kike soma chuo ukiwa na miaka kuanzia 35 na kuendelea utawaonea huruma watoto wa kike wanavyoangaika kutafuta pesa na vitu vya kuficha aibu asionekane ametoka maisha magumu. Mwanamke anaziburiwa mbele nyuma na watu wenye pesa ili mradi...
  9. Come27

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Chuma kama hiii unaikamata na kipindi kiwe cha mvua unapiga mashine mpaka unadata
  10. Come27

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

  11. Come27

    JamiiForums Tanzania Jasusi Mrembo Aliyemwangusha Charles Taylor Rais wa liberia

    Usalama upi?
  12. Come27

    JamiiForums Tanzania Kama kweli tunaipinga Israel, tuache kutumia iPhone. Vinginevyo ni sawa na kulaani kitimoto ila tukijifungia vyumbani twala hadi kujilamba vidole

    Kwa iyo yule mtaiwani mmarekani nafasi yake ipo wapi? Kwenye micro chip
  13. Come27

    JamiiForums Tanzania Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    Kwa upumbavu huuu, ndio unaowafanya wapalestina wajute na kukimbia kimbia wakiomba chakula
  14. Come27

    JamiiForums Tanzania China imeshasema haitakubali Urusi ishindwe na Ukraine kwa msaada wa NATO

    Vikosi vip? Vipelekwe uko ndugu kwa msaada wa Android au IOS. Utumie izo program alafu uwe na akili ya kushindana na USA
Back
Top Bottom