Naambiwa huyu Harbinder Singh Sethi alikuwa atoroke akakamatwa pale airport JNIA , sasa sielewi kama yupo salama na biashara yake iweje alijipanga kutoroka na kukamtwa! Ngoja tusubirie mengi yanakuja!
INTERNATIONAL ADVISORY BOARD
The International Advisory Board was established to provide advice to Barrick’s Board of Directors and management on geo-political and other strategic issues affecting the Company.
Nimaeandika nikiwa na ufahamu wangu tosha, viwanda vya ndani havikidhi mahitaji, ni serikali iangalie kuwa na viwanda zaidi vya sukari kwa kuwa hii ni bidhaa muhimu- lazima serikali isiwe na market failure ktk hili na hapo serikali huingilia kati kucorrect market failure.
Swala hili la "sugar shortage" limekuwa linatumika vibaya kama mtaji wa wafanya biashara walafi, kiasi miezi ambayo viwanda vyetu vya ndani husimama kuzalisha sukari husababisha kuwepo na uhaba wa sukari kwa miezi kadhaa, uhaba huu hutathiminiwa na wataalaam wa wizara ya Kilimo kwa pamoja na...
Ndoto ya Rais Magufuli kutaka bomba la mafuta kutoka Uganda lipite Tanzania imetimia ambapo leo Museveni katangaza rasmi bomba linapita Tanzania mpaka kwenye bandari ya Tanga.
Katika hali inayoonyesha kuwa na majibizano kati ya Rais Magufuli na Kituo Cha Haki za Binadamu LHRC kinachoongozwa na Dr. Hellen Kijo Bisimba, leo Rais Magufuli hadharani kasema wanaosema amekiuka haki za binadamu kumsimamisha ndugu Kabwe hadharani walitakiwa pia waseme vivyo hivyo kipindi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Gelasius Gaspar Byakanwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro.
Taarifa iliyotolewa leo Ikulu Jijini Dar es salaam na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, imeeleza kuwa uteuzi huo umeanzia tarehe 08...
Marupuru hata ujumlishe namna gani haiwezi kuzidi milioni saba kwa mwezi, na hizo fenicha Waziri au katibu Mkuu hupewa mkupuo wa milioni 18 kwa kipindi chote hakuna kubadilisha, sasa sijui unaongelea fenicha zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.