Msaada wakuu juzi nilinunua Blackberry 9630 kutoka kwa mmoja wa marafiki zangu lakini kuna matatizo kadhaa yanayonifanya nianze kuzichukia hizi simu
1. nimeinganisha kwenye pc na usb cable ili iingize charge lakini mwisho wa siku nakuta simu inaniandikia BATTERY DRAINED SHUTDOWN
2. Nikipiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.