Dawa za asili si kitu kwenye wagonjwa kama haya ndugu zangu, tumia utumiavyo lakini kuenda hospital na kuanza dozi za kitaalamu ni kitu ambacho hakikwepeki,, Yani utatumia uwezavyo mwisho wa siku utakimbilia hospitalini maji yakishafika shingoni..
Ugonjwa wa kisukari Una weaken baadhi ya organs...
Naskia sio tabia Tu jamaa ana matatizo ya kiafya hasa hasa kwenye mazingira ya baridi Sana na kwenye high attitude anashindwa kupumua vizuri na hata akipanda ndege Tu kidogo ni shida tupu..
Simba sio wajinga kumuacha mchezaji mzuri bila kuwa na tatizo
Ni kawaida kitaalamu semen huwa zina sifa ya Ku Liquify kutoka katika Ile Hali yake ya kuwa nzito Hadi kuwa ute mwepesi kabisa ili kuweza kusaidia zile spermatozoa ku swim kirahisi kulielekea yai.
Kwa hiyo katika Ile Hali ya Ku Liquify zinaweza zikatoka nje ya uke na sio zote zinazotoka Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.