Habari za muda huu,
Naomba kuuliza na kuhitaji kujua ni taratibu zipi zinatumika kupandisha ada katika taasisi na vyuo vikuu nchini.
Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) IAE main campus kilichopo bibi titi road posta jijini Dar es salaam, wamekua na utaratibu wa kushtukiza na kupandisha ada...
Biashara zina changamoto zake aisee
Nadhan katika mipango aliyobugi ni kuamua kukopa gari na kuzipeleka tunduma akakutana na upinzani mkali kutoka kwa NF ikambidi awe na matumizi makubwa kuliko faida anayoingiza
Biashara ilikua nzuri sana akawa na Bus 7 ila 3 kati ya hizo zikachukuliwa na Scania ( zilikua ni za mkopo) na 4 zilizobaki 2 tu ndio zinatembea na 2 nyingine ni mbovu zimepaki mbeya takribani miezi 2+ sasa
Ila Daily yupo road kwa bus mbili zinapishana Mbeya Dar Mbeya
Wana JF naomba msaada wa mawazo yenu. Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha sita mwaka huu na kwa sasa yupo jeshini kwa mujibu wa sheria.
Kabla hajaondoka alisisitiza sana nimsaidie kuomba chuo katika kozi ya BACHELOR DEGREE WITH EDUCATION IN ADULT EDUCATION AND COMMUNITY DEVELOPMENT sikupata...
Hakuna haja ya kulazimisha magari yote yapakilie abiria ndani ya stand kuu
Mfano Dodoma, abiria anaetoka Area C kwenda Babati, Arusha & moshi kuna ulazima gani yeye kwenda kupakilia 88 ilihali kuna kampuni zina ofisi pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.